NYUMA YA PAZIA: CHADEMA ilivyosalitiwa 2015 - Dkt. Slaa

NYUMA YA PAZIA: CHADEMA ilivyosalitiwa 2015 - Dkt. Slaa

Another Wema Sepetu, akiona haandikiwi wala kusemwa lazima atafute kituko tu.

Mkubwa Silaa, upepo umeshapita huo. Huna nyimbo sasa hivi, shukuru Mungu uliambulia ubalozi bora ujikite huko. Achana na chadema kwa sasa wewe ni CCM sheikh! Tunga vitabu kuhusu CCM na u focus kwenye kazi za ubalozi. Tumia u phd wako kuboresha mahusiano ya Tanzania na Scandnavian countries mkuu, ya Chadema waachie kina Mbowe na Lissu. Kama una hamu sana kutunga vitabu tunga kuhusu CCM na dola
Kuna mtu mmoja alituma clip ikionesha Mrema analalamikia uchaguzi wa jafo ulikuwa siyo fair, eti leo na yeye yumo kwenye tamko la vyama 12 vilivyotoa tamko kuhusu kuukubali uchaguzi wa NEC na kwamba wanaamini utakuwa fair.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mtu mmoja alituma clip ikionesha Mrema analalamikia uchaguzi wa jafo ulikuwa siyo fair, eti leo na yeye yumo kwenye tamko la vyama 12 vilivyotoa tamko kuhusu kuukubali uchaguzi wa NEC na kwamba wanaamini utakuwa fair.

Sent using Jamii Forums mobile app
Haya majitu hayajuagi yanataka nini hata yenyewe
 
Kuna watu naona hawajui wanachokitaka katika siasa za nchi hii. Kitabu kinahusu jinsi CDM ilivyosalitiwa 2015 lakini wameanza kukiponda hata kabla ya kukisoma na kujua ni nani waliofanya huo usaliti na kwa namna gani.

Cha ajabu ni kwamba watu hao hao ndio wanaopiga husema kuwa "Dr. Mihogo" aliisaliti CDM na "Le Profeseri Lipumbavu" alisaliti UKAWA. Nasema hawajitambui kwasababu wanaamini CDM/UKAWA ilisalitiwa lakini wanaponda wazo hilo kuwekwa kwenye kitabu.
 
Mzee anaanza biashara ya vitabu....atauzia masembo
 
Kuna watu naona hawajui wanachokitaka katika siasa za nchi hii. Kitabu kinahusu jinsi CDM ilivyosalitiwa 2015 lakini wameanza kukiponda hata kabla ya kukisoma na kujua ni nani waliofanya huo usaliti na kwa namna gani.

Cha ajabu ni kwamba watu hao hao ndio wanaopiga husema kuwa "Dr. Mihogo" aliisaliti CDM na "Le Profeseri Lipumbavu" alisaliti UKAWA. Nasema hawajitambui kwasababu wanaamini CDM/UKAWA ilisalitiwa lakini wanaponda wazo hilo kuwekwa kwenye kitabu.
Wana CCM bana.
tapatalk_1577354951190.jpeg


dodge
 
Kuna watu naona hawajui wanachokitaka katika siasa za nchi hii. Kitabu kinahusu jinsi CDM ilivyosalitiwa 2015 lakini wameanza kukiponda hata kabla ya kukisoma na kujua ni nani waliofanya huo usaliti na kwa namna gani.

Cha ajabu ni kwamba watu hao hao ndio wanaopiga husema kuwa "Dr. Mihogo" aliisaliti CDM na "Le Profeseri Lipumbavu" alisaliti UKAWA. Nasema hawajitambui kwasababu wanaamini CDM/UKAWA ilisalitiwa lakini wanaponda wazo hilo kuwekwa kwenye kitabu.
Tukisome Cha Nini? Lengo.ni kuondoa ccm. Hatuitaki tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sweden yakata misaada kwa 75%

Slaa badala ya kudeal na hilo suala na mahusiano ya nchi, yeye kajikita kuandika kitabu dhidi ya cdm! Nadhani Slaa alipaswa kutoa maelezo ni kwanini yeye yuko huko, kisha nchi hiyo hiyo aliyoko inakata misaada tena kwa 75%!
 
Back
Top Bottom