mikedean
JF-Expert Member
- Mar 15, 2018
- 3,267
- 4,634
Slaa ni mpumbavu akae kimya.Alisaliti jeshi ya ukombozi 2015 sasa ameungana na wanyonyaji wamempa vyeo.Ataandika nini mnafiki huyu hata tumkubalie?Atuache na CDM yetu yeye aendelee kula bata ughaibuni kwa hisani ya mafisadi ccm
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app