NYUMA YA PAZIA: CHADEMA ilivyosalitiwa 2015 - Dkt. Slaa

Padre na mwanasiasa mnafiki na msaliti wa viapo vyake, Padre mzinzi ambaye maisha ya Useja yalimshinda...huyu si Mtu wa kuaminiwa bali wa kuogopwa kama Ukoma!

And by the way, kila Siku Yuko Lowassa, Lowassa, Lowassa...kipi kimebadilika sasa, amefanikiwa kumkimbia Lowassa? Si wako nyumba moja Sasa na kikundi cha Praise & Worship?
 
Ameshiba huyo anaanza kujitetea na vikaratasi vyake vya kufungia Maandazi, Alikimbilia Canada aliko Jack zoka, Aliflphayo Kidata wasiojulikana wanaojulikana.

Lipumba alikimbilia Rwanda kwa remote Driver wa Jumba Jeupr kwa Jiwe, Mr Tallman.
 
Mwanakijiji ujue umechuja Sana,umemharibia mzee deal lake,asingekutumia wewe kutangaza biashara yake!
 
Haya uliyoyasema ndio ukweli Wenyewe, sijui shetani gani alimpitia huyu Dr Slaa, alipambana miaka mingi kuleta mabadiliko yenye tija ktk nchi hii lakini alishindwa maamuzi ya muda mfupi tu 2015 na kupotexa mwelekeo mazima.
 
Haya uliyoyasema ndio ukweli Wenyewe, sijui shetani gani alimpitia huyu Dr Slaa, alipambana miaka mingi kuleta mabadiliko yenye tija ktk nchi hii lakini alishindwa maamuzi ya muda mfupi tu 2015 na kupotexa mwelekeo mazima.
Siku ya gulio Katerero!
 
Background ya Dr Slaa asiyausishe na Kanisa katoliki alikotoka.Maana Kanisa lenyewe liko mbali na mtu anayejikweza kupata kicks za kisiasa.
 

M. M. tunashukuru kwa taarifa hizi nzuri. Pamoja na hayo mimi nashauri ufanye pia mabo mawili yafuatayo:

MOJA: KAMA INAWEZEKANA, kitangazwe pia kwenye TV kama kilivyotangazwa cha Mh. Dr. Reginald Mengi "I CAN I MUST I WILL"

MBILI: Kisambazwe kwenye sehemu nyingine nyingi kama kilivyosambazwa hicho nilichokitaja hapo juu, MLIMANI CITY ikiwa ni sehemu mojawapo.
Nahisi mambo haya mawili yakifanyika, nakala nyingi zaidi zitauzwa.
Ubarikiwe na nikutakie siku njema sana.
 
Mkuu. Wale CHADEMA original lazima tukinunue tukumbushie enzi zetu kabla akina Tundu Lisu na mwenyekiti hawajakiuza chama chetu kwa CCM.
Halafu tundu lissu ni wakuja chadema
Alihamia chadema baada ya kufukuzwa NCCR yeye na msafiri mtemelwa
 
Hivi kuna mjinga atakaye nunua vitabu hivyo, wakati yaliyomo humo yore yanatoka humu humu JF?!

Badala kuandika yajayo au yaliyopo mnaandika yaliyopita, kama kitabu kina muhusu Slaa, mbona kila mtu anamfahamu?!

Ungewaandikia wanao zaliwa leo, ambao hawatamkuta na kumfahamu.

Wajinga tuko wengi sitashangaa nikisikia kuna wenzangu wamenunua kitabu hicho.
 

ARUSHA KINAPATIKANA WAPI?
 
Semeni Ukweli Kitabu kimeandikwa na Evarist Chahali sio Wilbroad Peter Slaa!
 
Kwa hiyo secret ID ya Dr Slaa ni Mzee Mwanakijiji. Asante kwa kufungua code
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…