Nyuma ya Pazia katika Massage Parlour


Kaka sina haja ya kudanganya au kuleta mambo ya kihisia kuliko uhalisia...hii ipo,na inafanyika,haima ubishi mkuu
 
Labda mtoa mada angetu juza ni wapi alipoenda kupata hyo huduma
 
hhahaaahaa mtajipatia maradhi kibao, mabacteria, mafungus na hyo mitaulo. khaa kchefuchefu, raha ya massage ufanye/ufanyiwe na mwenzi wako tena mkiwa mko sehemu yenu na vifaa vyenu wenyewe.
 
kama wewe nimshindi na unamtegemea mungu utamshinda shetani. mimi nimshindi na ninamshinda shetani massage zote hizo nimefanya lakini sikufanya ngono hata siku moja. watu wanafanya uzinzi hata kama hawakufanyiwa massage . uzinzi yaani umalaya ukokwenye ubongo wako ,kamaubongo wako unataka kuzini utazini tu . mtegemee mungu atakulinda na ubongo wako utafanya maamzi sahihi ya kukataa zinaa
 
nadhani sijachelewa! hii itanifaa sana new year!
 
Niko job ...nmemaliza kusoma hii kitu nimejikuta Dushelele langu limetuna balaaa....Ni shidaaaaaaa
 

Mkuu ungetupia na majina machache ya hizo palour basi tuzijue na sisi, Kinondoni kubwa mkuu- ili tuziepuke
 

mna huo muda amu!!!?????mnajifanya mko bize mno nyie!.....''aku,nimfanyie hivyo kanioa!!??''.......na mkiolewa mnajifanya mko biiiize na watoto!!
mahaba ya hivi kwa nyie dada zetu,tena wenye kisomo kidogo......ni kama homa ya vipindi!kuna wakati nilisahau kabisa hata kujikata kucha mwenyewe.kama miezi mitatu hivi....baadae mambo haya yalipotea kimya kimya kama stori ya Rama mla - watu!

siku nikiona tu mambo haya yanarudi tena kwa kasi naanza kuwa na wasiwasi na ''invoice'' nitakayopigwa hapo au ndo itakuja ishu ya ''lini tunaenda kuwaona wazazi wako!!??''.
yaani full maigizo nyie...bora parlour tu zidumu!
 
Lst time kufanya massage ilikua pale msasani unisex massage parlour haaahaa nkaapa sirudii tena maana hii service ishaharibiwa na makahaba ht kwa ushauri wa Dr siendi tena,sema ivi vitu vilitakiwa viwepe kwny uhusiano basi tu.
 
Lst time kufanya massage ilikua pale msasani unisex massage parlour haaahaa nkaapa sirudii tena maana hii service ishaharibiwa na makahaba ht kwa ushauri wa Dr siendi tena,sema ivi vitu vilitakiwa viwepe kwny uhusiano basi tu.

mi kwakweli nafanya sana........kila baadad ya muda tu nitamsuprise na ka massage ka ukweli......japo mara nyingine inaishia ''ukanda wa gaza''!!

wao sasa!!kutwa instagram,twitter,badoo,viber na wachache JF!,kidogo tu ''guidotti time''..pumbav!!
 
Ukimwi hauwezi kuisha kwa hali hii, maana vivutio n vingi kuliko uwezo wa kuvizuia, ila m cjui kama huko ziko kondom? Nsaidien maana isije kuwa watu wanaunganishwa kwenye mtandao! Halafu nyie kina dada mnaona jinsi mnavyoibiwa? Changamken chukua hatua haraka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…