Mkuu,niliingia kazini kuchunguza hii kitu kwa kufanyiwa massage sehemu zaidi ya sita,tena ni zile ambazo nilikuwa nazitilia shaka...lakini kusema ukweli sikukutana na haya mambo.
By the way nahisi mleta mada aliingia kwenye danguro na siyo sehemu ya Beauty clinic.
Sikatai kuwa haya mambo yapo ndani ya bongo ila napenda tuongee kwa fact,uhalisia,na ushahidi na siyo hisia.
Mmh! wanawake wetu wa kizazi hiki hawana mda huo...kukukata kucha tu hawataki' sembuse zoezi hilo!!?
Labda mtoa mada angetu juza ni wapi alipoenda kupata hyo huduma
Kumbe Jack poleMmh! wanawake wetu wa kizazi hiki hawana mda huo...kukukata kucha tu hawataki' sembuse zoezi hilo!!?
Unajiweza kuzuia dushelele lisianze kunyanyuka kwa muinuko wa slogani ya kidumu chama tawala?
Ole wao wale wasasabishao wenzao watende dhambi na kukwazika,ingelikuwa heri kwao wafungwe jiwe kubwa shingoni na kutupwa ktk kina cha bahari
shida yote ya nini?huna mke au gf?kama unaye mwambie anunue nazi atengeneze mafuta ya nazi achanganye na hiriki na mchaichai akufanyie massage,anunue na vile foot massage akusugue gaga aweke slow muziki taa za kuvutia au asiwashe kabisa.Baada ya hapo atakushusha kitonga na atakuogesha.Utatoka msafiiiii na mwepesi mwisho unashushia na supu ya samaki.Kisha tunawaacha mrareeeeeeeeee
Lst time kufanya massage ilikua pale msasani unisex massage parlour haaahaa nkaapa sirudii tena maana hii service ishaharibiwa na makahaba ht kwa ushauri wa Dr siendi tena,sema ivi vitu vilitakiwa viwepe kwny uhusiano basi tu.