Clouds digital mna kazi udini na wakati pombe zilikuwa zinanyweka kama njungu.sema mengine ila siyo hili.Unaaambiwa swala hili lilowakera wanamuziki wakristo waliokuwa kwenye tamasha pamoja na uongozi wa juu wa basata na wizara kwa ujumla
Wanasema kila show kabla ya kuanza lazima shehe asome dua huku wakristo wakikatzwa kuomba kwa imani yao
Pia basi walilokuwa wakipanda muda wote lilikuwa likinukia ubani na udi
Shonza na mngereza walijuta kwenda kwenye uzinduzi mtwara maana back stage baada ya dua uliwashwa ubani wakajikuta mpaka wananunia harufu iyo badala ya perfume
Thread zako nyingi umeiponda wcb bila shaka wewe ni shoga la mawinguUnaaambiwa swala hili lilowakera wanamuziki wakristo waliokuwa kwenye tamasha pamoja na uongozi wa juu wa basata na wizara kwa ujumla
Wanasema kila show kabla ya kuanza lazima shehe asome dua huku wakristo wakikatzwa kuomba kwa imani yao
Pia basi walilokuwa wakipanda muda wote lilikuwa likinukia ubani na udi
Shonza na mngereza walijuta kwenda kwenye uzinduzi mtwara maana back stage baada ya dua uliwashwa ubani wakajikuta mpaka wananunia harufu iyo badala ya perfume
Sawa shoga msafiThread zako nyingi umeiponda wcb bila shaka wewe ni shoga la mawingu
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaaambiwa swala hili lilowakera wanamuziki wakristo waliokuwa kwenye tamasha pamoja na uongozi wa juu wa basata na wizara kwa ujumla
Wanasema kila show kabla ya kuanza lazima shehe asome dua huku wakristo wakikatzwa kuomba kwa imani yao
Pia basi walilokuwa wakipanda muda wote lilikuwa likinukia ubani na udi
Shonza na mngereza walijuta kwenda kwenye uzinduzi mtwara maana back stage baada ya dua uliwashwa ubani wakajikuta mpaka wananunia harufu iyo badala ya perfume
Ulikuwepo backstage?
labda kipozeo maana ni muajiliwa wa wasafi mediaSikuepo backstage wala kwenye hio shoo
nimeuliza uwezekano huo upo kwel
shekhe gan anaeijua dini anaenda kwenye tamasha la muziki au shekhe nae msanii??
Labda huyo sheikh aliyesoma dua atakuwa ni USTADH JUMA NAMUSOMASikuepo backstage wala kwenye hio shoo
nimeuliza uwezekano huo upo kwel
shekhe gan anaeijua dini anaenda kwenye tamasha la muziki au shekhe nae msanii??