Hii mada naomba uianzishie uzi tutakujibu huko, leo tuongelee yaliyoko mezani
Mchango wako ni muhimu mkuu? Kwa nini unachepuka?Taking notes for you guys🤣🤣🤣
Sababu zinazowafanya ninyi mchepuke ndio hizo hizo na sisihii mada naomba uianzishie uzi tutakujibu huko, leo tuongelee yaliyoko mezani
Hivi wewe Elimu ya sekondari ulisoma kipindi cha madaraja ya division au GPA?
Taking notes for you guys[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
ohoooo ahsante dada.Mume au mpenzi kukuchukulia poa (Yani anakuona wa kawaida tu hajali tena, hakusifii, hadi unajiona ovyo wakati deep down unajua wewe kisu. Then unapata mtu anakuangalia kwa macho flani hivi)
Kukosekana kwa plan ya future(uko na mwanamke 1 year, 2 years haijajulikana uko naye umuoe, mnafurahishana tu au vipi)
Tabia tu (mtu hawezi kuwa na mpenzi mmoja)
Dushelele (kutafta raha za dunia kama hazipati ndani)
Sasa hapa huwa ni huyuhuyu shetani ndio kisababishi au?Hakuna sababu ya msingi ,wengi hujikuta tu wamechepuka maana hata huyo mchepuko ana mapungufu inawezekana mengi kuliko ya mume na ndio maana baada ya mda wanaachana pia.
Ngoja waje, watueleze mkuuMama zetu n Tabia zao