Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Mlevi mjibu hunnah et maana kakamia kweli kweliMbona siwaoni au bado wapo jikoni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mlevi mjibu hunnah et maana kakamia kweli kweliMbona siwaoni au bado wapo jikoni
wanaume mpoo✍✍Kwahiyo mpo busy kuandaa mafao ya uzeeni.
Sasa msiulize tena kwanini tunachepuka.
Wikiend yenyewe mnagusa gusa hamna mnachofanya. Kichekesho kimoja cha wanaume ni kwamba anaweza kujiona amesimamia show sijui ukucha kumbe hamna kitu kakupaka paka tuu.
Halafu ukichepuka mtu anakujliza "umekosa nini"? 😂😂😂😂
Wapo.Duuh kumbe ndo ilivyo...
Hivi mtu unapataje mda wa kusema umechoka khaaaaaa
Labda kama anafuata hela.
Ila amini usiamini, wanaume mkishaoa mnakuwa wazembe sana. Ndiyo maana mtu haoni tabu kumpa "bodaboda" wake amtoe hamu.
Unakuta mtu unarudi nyumbani unafanyiwa mitego yote lakini wapi. Muda wa kumwandaa mpenzi wako hauna unajidai umechoka. Mwanamke mpaka akuanze wewe ndio mgegedane. Akikausha na wewe unajidai umekausha. Madai umechoka. Hivi wanaume siku hizi mbona mnaogopa papuchi sana? Yaani mmekuwa na tabia za kuogopa kugegedana mtadhani wale mabinti ambao bado ni bikra.
Ukijitahidi sana, kagoli kamoja ndani ya dakk 3😂😂😂😂😂.
Mnijibu Leo, huwa mnaishiwa nguvu za kiume? Au mnakuwa mmeizoea papuchi?
mkuu huenda wana sababu zao, ndio nataka watuambie hapa.Sio kwa baadhi kamaa mimi na baharia wengine, kiukweli wapo baadhi ya makabila umalaya upo damuni na ni utamaduni kbsa, hao hamna cha nini wala nini mpaka posho akiombwa anatoa japo maskini sana na kipato duni
Wapo.
Hauoni kila siku wanaanzisha mada humu kwamba "mke wangu ataniua anataka kila Siku" huwa najiuliza kwanini wanaume mnaogopa papuchi kiasi hicho. Zina meno? Zina ng'ata?
Haumwandai vizuri. Mkishaoa mnasahau namna ya kumwandaa mwanamke mpaka alowe alilie dudu mwenyewe. Mkishaoa mnapapasa papasa papuchi tuu madai ndio mnaandaa. Sasa hapo hamu ya mapenzi inatoka wapi?sasa mwalimu, mimi wangu kwa sasa ndio hapendi kabisa ngono yaani mpaka nimlazimishe na hanipi ushirikiano😀 hata nimuandae vipi, najipigia tu kama napumb maji nikimaliza natulia.. naye analalamika kwamba napenda kugegeda sana
Kwa mwezi naweza kupewa ushirikiano kamili mara moja tu na kwa bao moja, hizo zingine nafosi tu...lakini tulivokuwa kabla ya ndoa ilikuwa ni kubinduana balaaaa...kuna mda huwa najiuliza au anapigwa miti huko nje.
Najazia hapo,ni Ushetani tu...Hakuna sababu ya msingi ,wengi hujikuta tu wamechepuka maana hata huyo mchepuko ana mapungufu inawezekana mengi kuliko ya mume na ndio maana baada ya mda wanaachana pia.
Tuachane na mambo ya makabila ila sababu kuu ya "ninampa hela ,kila kitu akitaka nampa na mapenzi nampa lakini anachepuka" ni kwamba mnakuwa ni kagoli kamoja DKK 3, mtu unapata jeuri ya kusema unampa mtu kila kitu?😂😂😂.Sio kwa baadhi kamaa mimi na baharia wengine, kiukweli wapo baadhi ya makabila umalaya upo damuni na ni utamaduni kbsa, hao hamna cha nini wala nini mpaka posho akiombwa anatoa japo maskini sana na kipato duni
Yaani ni kama kutulia Nchi moja bila kusafiri,kwa michepuko ni kama holiday tu.Hivi wanaume kwanini mkioa tuu mnakuwa wazembe kitandani?
Ndio kwamba mmeshaizoea papuchi au? Au ni nguvu za kiume huwa zinaisha?
Mkishaoa mambo ya romance sijui mnayasahau wapi. Mnataka mkute mtu kalowa mchomeke tuu.[emoji23][emoji23]
mwalimu,..mwalimu... mimi wangu hakyanani akiona manjonjo ya kutaka kuomba mchezo anabadilika anachukia kabisa hata ufanyeje ... huwa nafosi tu kibabe dude likiwa lishasoma 4G na hanipi ushirikiano kabisa, najipigia kama napumb maji nikimaliza natulia, kuna siku kidogo nimuwashe makofi kabisa dushe limesimama halafu hataki kunipa papuchiHaumwandai vizuri. Mkishaoa mnasahau namna ya kumwandaa mwanamke mpaka alowe alilie dudu mwenyewe. Mkishaoa mnapapasa papasa papuchi tuu madai ndio mnaandaa. Sasa hapo hamu ya mapenzi inatoka wapi?
Mkishaoa mambo ya romance sijui mnayasahau wapi. Mnataka mkute mtu kalowa mchomeke tuu.😂😂
Sasa wewe ndio umesema ukweli.Hapo unanisema mimi kabisa mkuu, naogopa papuchi kuliko maelezo.... hasa ile kila wakati ipo tu inanisubiri khaah..!
Sasa msiwe mnasema "ninampa kila kitu lakini kachepuka".Yaani ni kama kutulia Nchi moja bila kusafiri,kwa michepuko ni kama holiday tu.
mkuu, ngoja waseme sababu zao hasa zinazowapelekea kuchepukaWengi wakibambwa wanasingizia shetani!
Sasa wewe ndio umesema ukweli.
Na wanaume wengi papuchi ikiwa ndani inamsubiri anapoteza hamu nayo sijui? Au ni nguvu za kiume zinaisha ..nashindwa kuelewa.
Yaani mtu unakuta umeolewa na unalala na mwanaume kitandani kila siku lakini una nyege hadi unatetemeka.
Wanaume hiyo ndio sababu.
Kwahiyo sisi tunajiandaaje? Tuangalie porn ili tupate hisia? Mkija mchomeke tuu?Hatutaki usumbufu!
Ni kupapasa kidogo tu, nikipima ‘oil’ bado namaindi balaa natamani kughairi... kwani nyie mnafeli wapi kujiandaa.?