Nyuma ya Pazia: Nini hasa kinafanya wanawake walioolewa au walio kwenye mahusiano serious kuchepuka?

Nyuma ya Pazia: Nini hasa kinafanya wanawake walioolewa au walio kwenye mahusiano serious kuchepuka?

Kwahiyo mpo busy kuandaa mafao ya uzeeni.
Sasa msiulize tena kwanini tunachepuka.

Wikiend yenyewe mnagusa gusa hamna mnachofanya. Kichekesho kimoja cha wanaume ni kwamba anaweza kujiona amesimamia show sijui ukucha kumbe hamna kitu kakupaka paka tuu.
Halafu ukichepuka mtu anakujliza "umekosa nini"? 😂😂😂😂
wanaume mpoo✍✍
Ila haya mambo haya, hayana formula kabisa
 
Labda kama anafuata hela.
Ila amini usiamini, wanaume mkishaoa mnakuwa wazembe sana. Ndiyo maana mtu haoni tabu kumpa "bodaboda" wake amtoe hamu.

Unakuta mtu unarudi nyumbani unafanyiwa mitego yote lakini wapi. Muda wa kumwandaa mpenzi wako hauna unajidai umechoka. Mwanamke mpaka akuanze wewe ndio mgegedane. Akikausha na wewe unajidai umekausha. Madai umechoka. Hivi wanaume siku hizi mbona mnaogopa papuchi sana? Yaani mmekuwa na tabia za kuogopa kugegedana mtadhani wale mabinti ambao bado ni bikra.
Ukijitahidi sana, kagoli kamoja ndani ya dakk 3😂😂😂😂😂.

Mnijibu Leo, huwa mnaishiwa nguvu za kiume? Au mnakuwa mmeizoea papuchi?

Sio kwa baadhi kamaa mimi na baharia wengine, kiukweli wapo baadhi ya makabila umalaya upo damuni na ni utamaduni kbsa, hao hamna cha nini wala nini mpaka posho akiombwa anatoa japo maskini sana na kipato duni
 
Sio kwa baadhi kamaa mimi na baharia wengine, kiukweli wapo baadhi ya makabila umalaya upo damuni na ni utamaduni kbsa, hao hamna cha nini wala nini mpaka posho akiombwa anatoa japo maskini sana na kipato duni
mkuu huenda wana sababu zao, ndio nataka watuambie hapa.
 
sasa mwalimu, mimi wangu kwa sasa ndio hapendi kabisa ngono yaani mpaka nimlazimishe na hanipi ushirikiano😀 hata nimuandae vipi, najipigia tu kama napumb maji nikimaliza natulia.. naye analalamika kwamba napenda kugegeda sana

Kwa mwezi naweza kupewa ushirikiano kamili mara moja tu na kwa bao moja, hizo zingine nafosi tu...lakini tulivokuwa kabla ya ndoa ilikuwa ni kubinduana balaaaa...kuna mda huwa najiuliza au anapigwa miti huko nje.
Haumwandai vizuri. Mkishaoa mnasahau namna ya kumwandaa mwanamke mpaka alowe alilie dudu mwenyewe. Mkishaoa mnapapasa papasa papuchi tuu madai ndio mnaandaa. Sasa hapo hamu ya mapenzi inatoka wapi?

Mkishaoa mambo ya romance sijui mnayasahau wapi. Mnataka mkute mtu kalowa mchomeke tuu.😂😂
 
Hakuna sababu ya msingi ,wengi hujikuta tu wamechepuka maana hata huyo mchepuko ana mapungufu inawezekana mengi kuliko ya mume na ndio maana baada ya mda wanaachana pia.
Najazia hapo,ni Ushetani tu...
 
Sio kwa baadhi kamaa mimi na baharia wengine, kiukweli wapo baadhi ya makabila umalaya upo damuni na ni utamaduni kbsa, hao hamna cha nini wala nini mpaka posho akiombwa anatoa japo maskini sana na kipato duni
Tuachane na mambo ya makabila ila sababu kuu ya "ninampa hela ,kila kitu akitaka nampa na mapenzi nampa lakini anachepuka" ni kwamba mnakuwa ni kagoli kamoja DKK 3, mtu unapata jeuri ya kusema unampa mtu kila kitu?😂😂😂.
 
Hivi wanaume kwanini mkioa tuu mnakuwa wazembe kitandani?
Ndio kwamba mmeshaizoea papuchi au? Au ni nguvu za kiume huwa zinaisha?
Yaani ni kama kutulia Nchi moja bila kusafiri,kwa michepuko ni kama holiday tu.
 
Haumwandai vizuri. Mkishaoa mnasahau namna ya kumwandaa mwanamke mpaka alowe alilie dudu mwenyewe. Mkishaoa mnapapasa papasa papuchi tuu madai ndio mnaandaa. Sasa hapo hamu ya mapenzi inatoka wapi?

Mkishaoa mambo ya romance sijui mnayasahau wapi. Mnataka mkute mtu kalowa mchomeke tuu.😂😂
mwalimu,..mwalimu... mimi wangu hakyanani akiona manjonjo ya kutaka kuomba mchezo anabadilika anachukia kabisa hata ufanyeje ... huwa nafosi tu kibabe dude likiwa lishasoma 4G na hanipi ushirikiano kabisa, najipigia kama napumb maji nikimaliza natulia, kuna siku kidogo nimuwashe makofi kabisa dushe limesimama halafu hataki kunipa papuchi

Siku akihitaji yeye utajua tu, hayo maandalizi ya kitanda yanakuwa tofauti kabisa, na anatoa ushirikiano babu kubwaaa ila bao moja tu hataki tena...hata kile cha asubuhi hataki😀, hapendi kabisa ngono kwa sasa, wakati ndio ana 30 aged tu.Hata sijui kabisa shida yake ni nini

Nimejaribu kumuuliza, jibu lake ni kunilaumu mimi kwamba napenda ngono... najua yuko humu nae bora afunguke tu nijue maana ananinyima utamu walai.

kuna mda nahisi nagongewa...
 
Hapo unanisema mimi kabisa mkuu, naogopa papuchi kuliko maelezo.... hasa ile kila wakati ipo tu inanisubiri khaah..!
Sasa wewe ndio umesema ukweli.
Na wanaume wengi papuchi ikiwa ndani inamsubiri anapoteza hamu nayo sijui? Au ni nguvu za kiume zinaisha ..nashindwa kuelewa.
Yaani mtu unakuta umeolewa na unalala na mwanaume kitandani kila siku lakini una nyege hadi unatetemeka.

Wanaume hiyo ndio sababu.
 
Sasa wewe ndio umesema ukweli.
Na wanaume wengi papuchi ikiwa ndani inamsubiri anapoteza hamu nayo sijui? Au ni nguvu za kiume zinaisha ..nashindwa kuelewa.
Yaani mtu unakuta umeolewa na unalala na mwanaume kitandani kila siku lakini una nyege hadi unatetemeka.

Wanaume hiyo ndio sababu.

Come on!
Nguvu zinaisha vipi mbona huko nje ni 4G, ni ile tu kuichoka papuchi ambayo unajua ipo tu... cha thamani ni kile cha kukisotea mbali huko ukipate au ukose!
 
Hatutaki usumbufu!

Ni kupapasa kidogo tu, nikipima ‘oil’ bado namaindi balaa natamani kughairi... kwani nyie mnafeli wapi kujiandaa.?
Kwahiyo sisi tunajiandaaje? Tuangalie porn ili tupate hisia? Mkija mchomeke tuu?
Wazembe sana nyie wanaume. Ndio maana mkilala tunawaona kama ng'ombe imelala kitandani. Na mwanamke usipomridhisha hata heshima inapungua.
 
Back
Top Bottom