Nyuma ya Pazia: Nini hasa kinafanya wanawake walioolewa au walio kwenye mahusiano serious kuchepuka?

Nyuma ya Pazia: Nini hasa kinafanya wanawake walioolewa au walio kwenye mahusiano serious kuchepuka?

Wanawake wanalipaga visasi so usione umechepuka au unachepuka akaendelea kukenua meno ukasema ume win kumbw na yy anatulizwa na mangi wa duka la jirani.
Kwenye kulipiza huwa vinachukuliwa vitu vya maana ambavyo hata yeye kushituka ni ngumu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Haa haa haa kama nakuona vile ukimpikia pilau anakula huku kavuta mdomo na ubaja wakuku mdomoni nawe cheko la pembeni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kama unamtizama ndama anaye nyonya kwa mama yake [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Tena nakumbuka yule baba kuna siku tulitokea mkuranga tukanunua jogoo mkubwa akaniambia niwapelekee watoto wakale

jamaa nafika nyumbani anauliza firigisi
 
Kwahiyo mpo busy kuandaa mafao ya uzeeni.
Sasa msiulize tena kwanini tunachepuka.

Wikiend yenyewe mnagusa gusa hamna mnachofanya. Kichekesho kimoja cha wanaume ni kwamba anaweza kujiona amesimamia show sijui ukucha kumbe hamna kitu kakupaka paka tuu.
Halafu ukichepuka mtu anakujliza "umekosa nini"? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo show ya sekunde 8 hoi bin taaban halafu wanakuwa wakali balaa ili asiulizwe chochote, na mke akiongea utasikia wanawake wanagubu
 
Tena nakumbuka yule baba kuna siku tulitokea mkuranga tukanunua jogoo mkubwa akaniambia niwapelekee watoto wakale

jamaa nafika nyumbani anauliza firigisi
Doo doo ukachekea pembeni kama fala vile, wengi hutumia fimbo kuwa wao ni wanaume muda wowote anafanya atakacho kumbe wanajidanganya
 
Mkishatuweka ndani mnaona ndio mmemaliza kila kitu.
Hamjali tena kuturidhisha kama kipindi cha kabla hamjatuoa.
Wakati mwingine hamna hata muda wa kutuandaa panapo 6*6.
Kwa kifupi mnasahau mapenzi na kuturidhisha.
Mnategemea nini?
Umenena vyema sana
 
halafu mwanamke akiwa na mchepuko nyumba inakuwana utulivu na amani
Sana na akiona haulizwi ulizwi anajua tayari katulia mie ndiyo mwanaume ndiye kichwa, sasa unajiuliza kichwa cha ng'ombe, kuku au bata? Sana sana hawa watoto wa mama mtihani mkubwa sana kwa wanawake
 
Tena nakumbuka yule baba kuna siku tulitokea mkuranga tukanunua jogoo mkubwa akaniambia niwapelekee watoto wakale

jamaa nafika nyumbani anauliza firigisi
Hapa umeniacha hoi kwa kicheko. Jamaa anakomalia firigisi iliyolipiwa na mume mwenziwe, jamani dunia ina mambo hii!!!
 
Labda kama anafuata hela.
Ila amini usiamini, wanaume mkishaoa mnakuwa wazembe sana. Ndiyo maana mtu haoni tabu kumpa "bodaboda" wake amtoe hamu.

Unakuta mtu unarudi nyumbani unafanyiwa mitego yote lakini wapi. Muda wa kumwandaa mpenzi wako hauna unajidai umechoka. Mwanamke mpaka akuanze wewe ndio mgegedane. Akikausha na wewe unajidai umekausha. Madai umechoka. Hivi wanaume siku hizi mbona mnaogopa papuchi sana? Yaani mmekuwa na tabia za kuogopa kugegedana mtadhani wale mabinti ambao bado ni bikra.
Ukijitahidi sana, kagoli kamoja ndani ya dakk 3😂😂😂😂😂.

Mnijibu Leo, huwa mnaishiwa nguvu za kiume? Au mnakuwa mmeizoea papuchi?
Kugegeda papuchi moja siku zote nayo shida. Alafu umkute mke mwenyewe style yake ni kifo Cha mende,ukimbinua mbuzi kagoma anagoma yeye
 
Sasa na sisi hatubaki nyuma. Tunatafuta kijana tunaenda tunapokelewa na mabusu hatari na show ya kutosha. Tukimaliza tunaoga tunarudi nyumbani tunasumbiri "ng'ombe" ije ile chakula tukalale kimya.😂😂😂😂
Nimeamini kweli humu.....wapo wengi. Mkuu unaonekana wewe ni mchepukaji sugu
 
"Tangu umri wangu usogee kidogo najikuta naamini kuwa sitakiwi ku share hovyo hovyo "USB" yangu na watu tofauti tofauti zaidi ya yule "Shareholder wangu pekee"

Lakini pia nimegundua ku share USB hovyo hovyo kunaleta virus, demage na mikosi ya ajabu ajabu inayopelekea umasikini"
 
Sijakataa
Sema kesi za hivo ni chache mno ukilinganisha na nilizozungumzia
Wanaume wana tendency ya kujisahau zaidi
Unakuta akiwa na mchepuko atamfanyia kila kitu ila wife anambaka tu
..ebu nikuulize swali..hivi mwanamke mke wako ukimkaza vizuri Sanaa...akawa.anaridhika na kukojoa ipasavyo...na ukawa na michepuko..na home unapajali.. na yeye unamhudumia...hivi kweli mke atachepuka?..ukunijibu nikaridhika naacha michepuko..
 
Back
Top Bottom