Nyuma ya Pazia: Nini hasa kinafanya wanawake walioolewa au walio kwenye mahusiano serious kuchepuka?

Nyuma ya Pazia: Nini hasa kinafanya wanawake walioolewa au walio kwenye mahusiano serious kuchepuka?

sasa mwalimu, mimi wangu kwa sasa ndio hapendi kabisa ngono yaani mpaka nimlazimishe na hanipi ushirikiano😀 hata nimuandae vipi, najipigia tu kama napumb maji nikimaliza natulia.. naye analalamika kwamba napenda kugegeda sana

Kwa mwezi naweza kupewa ushirikiano kamili mara moja tu na kwa bao moja, hizo zingine nafosi tu...lakini tulivokuwa kabla ya ndoa ilikuwa ni kubinduana balaaaa...kuna mda huwa najiuliza au anapigwa miti huko nje.
Angalia kama anatumia dawa za kupanga uzazi; zisipo endana na Hormone zake..hamu inaweza kuisha
Sijakuambia kuwa asizitumie ila anaweza kubadilisha kwa kufuata ushauri wa Gyno (Daktari wa kinamama) au wewe utumie Condom
 
Wakwe wengi ni wale wale, mtoto wao hawezi mkandamiza hata kama kafanya makosa, huko wakiwa wenyewe unazani wataongea nini! Ni wazazi wachache ambao husimamia ukweli , bora upambane mwenyewe

Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
Mke mwenzangu ananiambia kuwa aliyekuwa na hekima ni mama mkwe maana alikuwa yuko neutral hakuwa anaegemea upande wa mtu ila ndio hivyo vizur havidumu kabaki baba mkwe ambae ndiye dish yaan ukijichanganya kuomba ushauri atamshauri mwanae kuoa mwanamke mwingine
 
Mke mwenzangu ananiambia kuwa aliyekuwa na hekima ni mama mkwe maana alikuwa yuko neutral hakuwa anaegemea upande wa mtu ila ndio hivyo vizur havidumu kabaki baba mkwe ambae ndiye dish yaan ukijichanganya kuomba ushauri atamshauri mwanae kuoa mwanamke mwingine
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani kama mie, mama hana shida kabisa yeye mwenyewe ding alimsumbua sana, ila huyo mdingi wala siwezi hata siku moja kama ulivyosema dish, likiyumba haa haa labda bora hata wako [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani kama mie, mama hana shida kabisa yeye mwenyewe ding alimsumbua sana, ila huyo mdingi wala siwezi hata siku moja kama ulivyosema dish kuyumba haa haa labda bora hata wako [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
Baba yako mzazi ndio unasema bora hata dish lililoyumba?
 
Kwahiyo ushapiga show nje ya ndoa ! daaah dunia inaenda kwa kasi sana
Mtu anakuja nyumbani anakukuta unamtega kabisa jamani anakuambia naomba chakula anakula anaondoka kurudi ijioni mara ingine unamwambia njoo mapema home anakuja ila kukugusa kazi sasa naomba uniambie utalala na nani ?
Mbwa maana na mbwa hapa au jirani utoke njee uite majirani??
Nahamu wengine wako kazini wengine watakushangaa unabwana .

Lazima uwe na mtu wa ziada ambaye ikute mke wake naye anambania hujui mke wake anampa mume wako lazima uwe na mtu wa pembeni .

Tena mimi rafiki yake wa pekee wa mume wangu ndio shida hizo tunapunguziana na tunaheshimu ndoa zetu basi.

Sina mwingine na sitakuwa siwezi kuhudumia watatu.

Huyu rafiki yake ni anahela sana tajiri mdosi wa haja .
Uhusiano ulianza hivi ilikuwa morning simu iliita ya mme wangu kuangalia ni mke mwenza yaani mke wa rafiki wa mume wangu kidogo mesage inasema "imekuwaje jana uliniacha sijaridhika na huyo mkeo ananini mpaka unakurupuka unakuja moja kwa moja kwake?"

Nikashikwa na hasira nikamjibu "nisamehe babe"
Akareply kama unataka nikusamehe njoo mahali nilipo.
Nikamwambia mme wangu ametoka bafuni "mpenzi mama benson amesema uende leo anakikao nawewe akashtuka akavaa akaondoka hata chai hajanywa.

Wee hajarudi hiyo siku nami nikaona bora nianze njama ,shemeji aliniambia nikakata kuamini na sasa naamini .
Basi nikaona nimpigie kesho yake simu ,shemeji alipokuja mme wangu asubuhi home katoka kwa wifi.
nikamwambia shemeji nakualika na mkeo kwa chakula cha ijioni hapo ndio nilionyesha nia nampa nafasi yeye kwa kila kitu kuanzia chakula na mchotea chakula na kumpa attention yote kasoro kumwonyesha mahaba tu.

Tena washukuru wote hao malaya kuwa nimekuwa ningewaonyesha vituko kabisa na vibwanga.

Usiombe uolewe na malaya au mwanaume wa kizazi hiki ni jipu la kulitibua .

So siku inayofuata text za hapa na pale nikaona wa supermarket ni jipu jingine ni aibu tu kutembea na huyo hana hela .

Mpaka sasa haja zangu zote zinatimizwa kuanzia mapenzi, hela , attention na kampani.
Nyie tu ndio mpunguziwe shida zenu sisi tuwe vichaa sindio kwa kuturingia na miwa zenu weee acha hizoo.
Tutatoa sana na mkitutaka pia kama wanawake tutawapa kama kawaida .
 
Mtu anakuja nyumbani anakukuta unamtega kabisa jamani anakuambia naomba chakula anakula anaondoka kurudi ijioni mara ingine unamwambia njoo mapema home anakuja ila kukugusa kazi sasa naomba uniambie utalala na nani ?
Mbwa maana na mbwa hapa au jirani utoke njee uite majirani??
Nahamu wengine wako kazini wengine watakushangaa unabwana .

Lazima uwe na mtu wa ziada ambaye ikute mke wake naye anambania hujui mke wake anampa mume wako lazima uwe na mtu wa pembeni .

Tena mimi rafiki yake wa pekee wa mume wangu ndio shida hizo tunapunguziana na tunaheshimu ndoa zetu basi.

Sina mwingine na sitakuwa siwezi kuhudumia watatu.

Huyu rafiki yake ni anahela sana tajiri mdosi wa haja .
Uhusiano ulianza hivi ilikuwa morning simu iliita ya mme wangu kuangalia ni mke mwenza yaani mke wa rafiki wa mume wangu kidogo mesage inasema "imekuwaje jana uliniacha sijaridhika na huyo mkeo ananini mpaka unakurupuka unakuja moja kwa moja kwake?"

Nikashikwa na hasira nikamjibu "nisamehe babe"
Akareply kama unataka nikusamehe njoo mahali nilipo.
Nikamwambia mme wangu ametoka bafuni "mpenzi mama benson amesema uende leo anakikao nawewe akashtuka akavaa akaondoka hata chai hajanywa.

Wee hajarudi hiyo siku nami nikaona bora nianze njama ,shemeji aliniambia nikakata kuamini na sasa naamini .
Basi nikaona nimpigie kesho yake alipokuja mme wangu nikamwambia shemeji nakualika na mkeo kwa chakula cha ijioni hapo ndio nilionyesha nia nampa nafasi yeye kwa kila kitu kuanzia chakula na mchotea na kumpa attention yote kasoro kumwonyesha mahaba tu.

Tena washukuru wote hao malaya kuwa nimekuwa ningewaonyesha vituko kabisa na vibwanga.

Usiombe uolewe na malaya au mwanaume wa kizazi hiki ni jipu la kulitibua .

So siku inayofuata text za hapa na pale nikaona wa supermarket ni jipu jingine ni aibu tu kutembea na huyo hana hela .

Mpaka sasa haja zangu zote zinatimizwa kuanzia mapenzi, hela , attention na kampani.
Nyie tu ndio mpunguziwe shida zenu sisi tuwe vichaa sindio kwa kuturingia na miwa zenu weee acha hizoo.
Tutatoa sana na mkitutaka pia kama wanaume tutawapa kama kawaida .
Eheee yamekuwa haya
 
Eheee yamekuwa haya
Ndio mnachepuka na chepuka ila mimi sio mjinga naangalia mtu wa kuchepuka naye .
Shie nyie tu ndio mmpewe mkitaka kwani nyie nani hasa?
Siwanadamu tu ,?
Halafu isitoshe mnasaidiwa sana kwa maana mna wasaidia sana.

Kuna siku mpaka nikashindwa kuamka kisa hiyo shida na akaondoka kwenda kazini.
Mpaka nikaona nioge maji ya baridi halafu baadae nikaona nikakumbushie kwa boyfirend wangu wa zamani .
Akashangaa mbona wewe haukogi hivyo unajiheshimu ukiwaga na mtu kulikoni.

Nikasema mme wangu anamadai yupo busy ndio akanipa akili anazofanya yeye.
Nazinamsaidia mapenzi humfanya chizi mtu eti

Bora uchepuke tu ndio dawa.
 
Mtu anakuja nyumbani anakukuta unamtega kabisa jamani anakuambia naomba chakula anakula anaondoka kurudi ijioni mara ingine unamwambia njoo mapema home anakuja ila kukugusa kazi sasa naomba uniambie utalala na nani ?
Mbwa maana na mbwa hapa au jirani utoke njee uite majirani??
Nahamu wengine wako kazini wengine watakushangaa unabwana .

Lazima uwe na mtu wa ziada ambaye ikute mke wake naye anambania hujui mke wake anampa mume wako lazima uwe na mtu wa pembeni .

Tena mimi rafiki yake wa pekee wa mume wangu ndio shida hizo tunapunguziana na tunaheshimu ndoa zetu basi.

Sina mwingine na sitakuwa siwezi kuhudumia watatu.

Huyu rafiki yake ni anahela sana tajiri mdosi wa haja .
Uhusiano ulianza hivi ilikuwa morning simu iliita ya mme wangu kuangalia ni mke mwenza yaani mke wa rafiki wa mume wangu kidogo mesage inasema "imekuwaje jana uliniacha sijaridhika na huyo mkeo ananini mpaka unakurupuka unakuja moja kwa moja kwake?"

Nikashikwa na hasira nikamjibu "nisamehe babe"
Akareply kama unataka nikusamehe njoo mahali nilipo.
Nikamwambia mme wangu ametoka bafuni "mpenzi mama benson amesema uende leo anakikao nawewe akashtuka akavaa akaondoka hata chai hajanywa.

Wee hajarudi hiyo siku nami nikaona bora nianze njama ,shemeji aliniambia nikakata kuamini na sasa naamini .
Basi nikaona nimpigie kesho yake simu ,shemeji alipokuja mme wangu asubuhi home katoka kwa wifi.
nikamwambia shemeji nakualika na mkeo kwa chakula cha ijioni hapo ndio nilionyesha nia nampa nafasi yeye kwa kila kitu kuanzia chakula na mchotea chakula na kumpa attention yote kasoro kumwonyesha mahaba tu.

Tena washukuru wote hao malaya kuwa nimekuwa ningewaonyesha vituko kabisa na vibwanga.

Usiombe uolewe na malaya au mwanaume wa kizazi hiki ni jipu la kulitibua .

So siku inayofuata text za hapa na pale nikaona wa supermarket ni jipu jingine ni aibu tu kutembea na huyo hana hela .

Mpaka sasa haja zangu zote zinatimizwa kuanzia mapenzi, hela , attention na kampani.
Nyie tu ndio mpunguziwe shida zenu sisi tuwe vichaa sindio kwa kuturingia na miwa zenu weee acha hizoo.
Tutatoa sana na mkitutaka pia kama wanaume tutawapa kama kawaida .
Aiseee
 
Mtu anakuja nyumbani anakukuta unamtega kabisa jamani anakuambia naomba chakula anakula anaondoka kurudi ijioni mara ingine unamwambia njoo mapema home anakuja ila kukugusa kazi sasa naomba uniambie utalala na nani ?
Mbwa maana na mbwa hapa au jirani utoke njee uite majirani??
Nahamu wengine wako kazini wengine watakushangaa unabwana .

Lazima uwe na mtu wa ziada ambaye ikute mke wake naye anambania hujui mke wake anampa mume wako lazima uwe na mtu wa pembeni .

Tena mimi rafiki yake wa pekee wa mume wangu ndio shida hizo tunapunguziana na tunaheshimu ndoa zetu basi.

Sina mwingine na sitakuwa siwezi kuhudumia watatu.

Huyu rafiki yake ni anahela sana tajiri mdosi wa haja .
Uhusiano ulianza hivi ilikuwa morning simu iliita ya mme wangu kuangalia ni mke mwenza yaani mke wa rafiki wa mume wangu kidogo mesage inasema "imekuwaje jana uliniacha sijaridhika na huyo mkeo ananini mpaka unakurupuka unakuja moja kwa moja kwake?"

Nikashikwa na hasira nikamjibu "nisamehe babe"
Akareply kama unataka nikusamehe njoo mahali nilipo.
Nikamwambia mme wangu ametoka bafuni "mpenzi mama benson amesema uende leo anakikao nawewe akashtuka akavaa akaondoka hata chai hajanywa.

Wee hajarudi hiyo siku nami nikaona bora nianze njama ,shemeji aliniambia nikakata kuamini na sasa naamini .
Basi nikaona nimpigie kesho yake simu ,shemeji alipokuja mme wangu asubuhi home katoka kwa wifi.
nikamwambia shemeji nakualika na mkeo kwa chakula cha ijioni hapo ndio nilionyesha nia nampa nafasi yeye kwa kila kitu kuanzia chakula na mchotea chakula na kumpa attention yote kasoro kumwonyesha mahaba tu.

Tena washukuru wote hao malaya kuwa nimekuwa ningewaonyesha vituko kabisa na vibwanga.

Usiombe uolewe na malaya au mwanaume wa kizazi hiki ni jipu la kulitibua .

So siku inayofuata text za hapa na pale nikaona wa supermarket ni jipu jingine ni aibu tu kutembea na huyo hana hela .

Mpaka sasa haja zangu zote zinatimizwa kuanzia mapenzi, hela , attention na kampani.
Nyie tu ndio mpunguziwe shida zenu sisi tuwe vichaa sindio kwa kuturingia na miwa zenu weee acha hizoo.
Tutatoa sana na mkitutaka pia kama wanaume tutawapa kama kawaida .
Pole sana, Uwiii miwa yenyewe imepecha ina wadudu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daa jamani nacheka kama mazuri, wanawake wanavumilia mengi sana, na shida huwa ni kuanza, siku akianza basi tena, wanaume huwa wanayataka wenyewe!
 
Back
Top Bottom