Nyuma ya Pazia: Nini hasa kinafanya wanawake walioolewa au walio kwenye mahusiano serious kuchepuka?

Nyuma ya Pazia: Nini hasa kinafanya wanawake walioolewa au walio kwenye mahusiano serious kuchepuka?

Wewe siku yako haiendaji vizuri unanitafuta mimi hadi mimi siku yangu haendi vizuri kama yako so please fuata maisha yako.
Hahahah katoto unanifurahishaga...ila wewe sio mtanzania nashawishika kuamini hivi,.kiswahili chako hakielewekagi kabisa
 
Mume au mpenzi kukuchukulia poa (Yani anakuona wa kawaida tu hajali tena, hakusifii, hadi unajiona ovyo wakati deep down unajua wewe kisu. Then unapata mtu anakuangalia kwa macho flani hivi)

Kukosekana kwa plan ya future(uko na mwanamke 1 year, 2 years haijajulikana uko naye umuoe, mnafurahishana tu au vipi)

Tabia tu (mtu hawezi kuwa na mpenzi mmoja)

Dushelele (kutafta raha za dunia kama hazipati ndani)

Umetaja sababu za msingi hasa, ila moja ukaisahau
Matamanio ya kiuchumi, wakati mwingine huchepuka kwa ajili ya fweza pia.

Mwanaume akikamilika katika haya uliyoongea, anapunguza asilimia za mwanamke kuchepuka.
 
Labda kama anafuata hela.
Ila amini usiamini, wanaume mkishaoa mnakuwa wazembe sana. Ndiyo maana mtu haoni tabu kumpa "bodaboda" wake amtoe hamu.

Unakuta mtu unarudi nyumbani unafanyiwa mitego yote lakini wapi. Muda wa kumwandaa mpenzi wako hauna unajidai umechoka. Mwanamke mpaka akuanze wewe ndio mgegedane. Akikausha na wewe unajidai umekausha. Madai umechoka. Hivi wanaume siku hizi mbona mnaogopa papuchi sana? Yaani mmekuwa na tabia za kuogopa kugegedana mtadhani wale mabinti ambao bado ni bikra.
Ukijitahidi sana, kagoli kamoja ndani ya dakk 3[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

Mnijibu Leo, huwa mnaishiwa nguvu za kiume? Au mnakuwa mmeizoea papuchi?
Aisee watu tuko tofauti sana...

Mimi napenda kugegeda kuliko hata kula, yaani natamani kugegeda kwanza kabla ya kula na nikimaliza nataka tena...

Ila mniombee maana naona wife anaweza akanishindwa, sijui nina pepo la ngono mimi jamani duhhhh!!!
 
Wewe siku yako haiendaji vizuri unanitafuta mimi hadi mimi siku yangu haendi vizuri kama yako so please fuata maisha yako.
Aisee watu tuko tofauti sana...

Mimi napenda kugegeda kuliko hata kula, yaani natamani kugegeda kwanza kabla ya kula na nikimaliza nataka tena...

Ila mniombee maana naona wife anaweza akanishindwa, sijui nina pepo la ngono mimi jamani duhhhh!!!
hata mimi boss.
changamoto nilie nae kwa sasa hapendi hayo mambo ananipa shida sana
 
Nilipofungua huu uzi nilitegemea nikute majibu yametolewa na wanaume maana wana viherehere kweli. Na kweli ndicho nilichokuta.
 
Labda kama anafuata hela.
Ila amini usiamini, wanaume mkishaoa mnakuwa wazembe sana. Ndiyo maana mtu haoni tabu kumpa "bodaboda" wake amtoe hamu.

Unakuta mtu unarudi nyumbani unafanyiwa mitego yote lakini wapi. Muda wa kumwandaa mpenzi wako hauna unajidai umechoka. Mwanamke mpaka akuanze wewe ndio mgegedane. Akikausha na wewe unajidai umekausha. Madai umechoka. Hivi wanaume siku hizi mbona mnaogopa papuchi sana? Yaani mmekuwa na tabia za kuogopa kugegedana mtadhani wale mabinti ambao bado ni bikra.
Ukijitahidi sana, kagoli kamoja ndani ya dakk 3[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

Mnijibu Leo, huwa mnaishiwa nguvu za kiume? Au mnakuwa mmeizoea papuchi?
Uwakute sasa wanajisifia utachoka[emoji134][emoji134]
Halafu ndio maana inafikia hatua hata mke anapoteza hamu na mumewe hata akikugusa hausisimki tena maana unajua ataishia kukuchafua tu.
Matokeo yake anaanza kumlaumu mkewe eti anamnyima!
 
Nilipofungua huu uzi nilitegemea nikute majibu yametolewa na wanaume maana wana viherehere kweli. Na kweli ndicho nilichokuta.
😀 Achana nao

Hebu toa sababu, huu uzi nimeuweka kwa ajili yenu
 
Uwakute sasa wamajisifia utachoka[emoji134][emoji134]
Halafu ndio maana inafikia hatua hata mke anapoteza hamu na mumewe hata akikugusa hausisimki tena maana unajua ataishia kukuchafua tu.
Matokeo yake anaanza kumlaumu mkewe eti anamnyima!
🙁🙁😳😳kuchafuachafua?
 
Back
Top Bottom