Nyuma ya Pazia Seif kujiunga na ACT (Kuna kitu kinatafutwa) CCM Ikae Tayari

Nyuma ya Pazia Seif kujiunga na ACT (Kuna kitu kinatafutwa) CCM Ikae Tayari

.bila shaka JPM atapita kama mgombea urais kupitia chama tawala (Patamu hapo.)
Hili halihitaji darubini. Wanaojifaragua kwamba wataomba uteuzi kupita CCM mwaka 2020 wanajifurahisha tu na wao pamoja na wake/waume zao wanalijua hilo vizuri.
 
Sitakushangaa kwa maneno yako hayo sababu hujasoma sayansi hivyo huwezi jua, aliyekuambia mtu anaweza kucram Math au Physics ni nani embu jitokeze wewe ukacram kama hujachanganyikiwa leo hii hii. JPM ni mtu wa fact no porojo wapenda maendeleo tunamuelewa ila wale waliozoea kupiga porojo na siasa mchwara na za ujanja ujanja hawawezi muelewa kamwe.

Nimesoma science na nakubali kwambà wapo ambao ni vichwa. Nimekutana na waalimu chuo kikuu wenye upeo mkubwa kiasi unatamani wangepata uongozi mkubwa. Namkumbuka hasa Prof.mmoja wa physics. Hao wenye uwezo wakijiingia siasa hufanikiwa sana: Margareth Thatcher, Angela Merkel. Lakini huku kwetu watu hawaingii siasa kwa sababu wanao uwezo bali kwa kuona fursa ya maisha. Matokeo yake hata wanasayansi wetu wanaoingia huko siyo wale vichwa bali 'mediocre' na 'opportunists'. Mwanasayansi wa aina hiyo akiingia siasa usitarajie mambo ya maana sana. Atabakia 'opportunists tu, tena mwenye hila nyingi za kijima kwa sababu hujui hata nadharia ya misingi ya uongozi na utawala. Mtu moja maarufu alisema kama hujui misingi ya utawala usitafute uongozi wa kisiasa.
 
Nimesoma science na nakubali kwambà wapo ambao ni vichwa. Nimekutana na waalimu chuo kikuu wenye upeo mkubwa kiasi unatamani wangepata uongozi mkubwa. Namkumbuka hasa Prof.mmoja wa physics. Hao wenye uwezo wakijiingia siasa hufanikiwa sana: Margareth Thatcher, Angela Merkel. Lakini huku kwetu watu hawaingii siasa kwa sababu wanao uwezo bali kwa kuona fursa ya maisha. Matokeo yake hata wanasayansi wetu wanaoingia huko siyo wale vichwa bali 'mediocre' na 'opportunists'. Mwanasayansi wa aina hiyo akiingia siasa usitarajie mambo ya maana sana. Atabakia 'opportunists tu, tena mwenye hila nyingi za kijima kwa sababu hujui hata nadharia ya misingi ya uongozi na utawala. Mtu moja maarufu alisema kama hujui misingi ya utawala usitafute uongozi wa kisiasa.[/QUOTE
Sawa mkuu uwe basi unafikiria kisayansi na kujudge kisayansi pia.
 
Sitakushangaa kwa maneno yako hayo sababu hujasoma sayansi hivyo huwezi jua, aliyekuambia mtu anaweza kucram Math au Physics ni nani embu jitokeze wewe ukacram kama hujachanganyikiwa leo hii hii. JPM ni mtu wa fact no porojo wapenda maendeleo tunamuelewa ila wale waliozoea kupiga porojo na siasa mchwara na za ujanja ujanja hawawezi muelewa kamwe.

Ndio maana nikakuambia upo sawa kutokana na definitions zako. Umetuambia kuwa Magufuli ni mtu wa facts; lakini ni Magufuli huyo huyo aliesema hadharani kuwa alipoingia madarakani alikuta sukari inauzwa Shilingi elfu 5 kwa kilo. Kwa definition ya ukweli ya walio wengi tunajua huo ni UONGO lakini kwa definition yako ya facts (na lumumba wenzio) huo ni ukweli.
 
Mleta mada, tuonane leo jioni ili nikukamilishie malipo yako.
 
Kitendo cha Maalim Seif kujiunga na ACT wazalendo na kuikacha Chadema kama wengi tulivyodhani sio jambo la kukurupuka ila ni well calculated timing attack against a well organized super power CCM.

JPM ni mtu hatari sana kwenye siasa, ni mtu anayeona tatizo kwa haraka na kujiandaa kulikabili vyema..alishaona anaenda kuwekwa mtu kati ndani ya CCM na watu ambao ana tofauti nao lakini wnye nguvu ndani ya Chama (Membe group)

Kwa jicho la tatu alifanya juu chini kuhakikisha kundi lenye nguvu zaidi ndani ya chama tawala linakuwa upande wake by any means (Lowasa group) na hapo akafanikiwa kulivunja nguvu kundi la upande wa pili, Lowassa bado ana nguvu kubwa ya kisiasa na ni mtaji mkubwa sana wa JPM...bila shaka JPM atapita kama mgombea urais kupitia chama tawala (Patamu hapo.)

Changamoto nyingine ilikuwa upande wa pili yaani upinzani, juhudi zilifanyika kuiangamiza CUF na kuimaliza nguvu Chadema, wabunge wengi na madiwani wametimkia CCM..na hilo amefanikiwa kwa kias kikubwa.

Hata hivyo kuna vichwa vitatu makini ambavyo JPM anatakiwa acheze navyo vyema Hawa ni Lissu, Zitto na Seif.

Hawa watu wametazama kwa umakini mwenendo wa siasa za bongo wakaona hakuna uwezekano wa vyama vya upinzani kushinda uchaguzi 2020 kwa njia ya kura, ukiachilia mbali mambo anayoyafanya JPM, bado jamaa anakubalika sana kwa wananchi hasa maeneo muhimu kwa kura, hivyo kwa vyovyote vike kushindwa ni hakika.

Kwa mtazamo huo Lissu na Zitto wkaamua kutafuta msaada nje ya box through western countries, na hivyo wanafanya kila wawezalo kuhakikisha Nchi za Magharibi zinaimulika Tz kwa jicho la pekee, JPM anajaribu kuwatikisa hawa jamaa wa magahribi, uongozi wake unaenda kinyume na propaganda za magharibi (mf ) kuminywa uhuru wa vyombo vya habari, kuminywa kwa democrasia na kuegemea kwake kwa nchi kama china n.k ..

Hivyo Lissu pamoja na Zitto wanatumia Mwanya huo kupress ili hizi nchi zihakikishe zinashawishika kumwondolea mbali JPM 2020, na kwa vyovyote vile Lissu na Zitto ni vibaraka wa hawa jamaa.

Hata hivyo hawa wazungu hawawezi kukupa tu msaada wa ushindi kwenye uchaguzi kama hawajajiridhisha ya kuwa watafaidika zaidi kuliko wanavyofaidika sasa, pili hawawezi kwenda nje ya propaganda yao ya democrasia na hivyo lazima ujipange kupata support ya wapiga kura wa kutosha, na hapa ndipo mkakati kabambe umesukwa....

Hoja ikaja, Ili kupata mtaji mkubwa wa wapiga kura lazima vyama vikuu vya upinzani viunganishe nguvu, mambo ya kupambana separately inabidi yakae pembeni...possibly mipango kabambe imeenda kama ifuatavyo.

CUF ni kama imeyumba sana, hata hivyo ni chama chenye mtaji mkubwa wa wapiga kura hasa visiwani na maeneo ya Pwani, huku chama kikiwa na mpasuko mkubwa, bado Maalimu Seif ana ushawishi mkubwa kwa wapiga kura na hivyo support yake haitakiwi kupuuzwa.

Kwa vyovyote vile Seif alitakiwa ahame ili kuhamisha kura sehemu salama kwa upinzani...suala la kidini likaibuka, chama cha Chadema kimsingi kina msingi wa kikristo sana , wanachama na wafuasi wa CUF 90% ni muslim na wana itikadi kali hawa watu.. Hivyo tactically haitaleta matokeo mazuri kwa Seif kuhamia Chadema, badala yake best option ikaja Seif atimukie ACT ambayo msingi wake mkuu pia ni uislamu na hivyo support itakuwa kubwa visiwani na Pwani.

Hivyo Zitto na Seif kazi kubwa waliyo nayo ni kuorganize wanachama wa CUF na ACT wazalendo wawe kitu kimoja for the final battle, kazi kubwa itakayobaki kwa Mbowe ni kuorganize wanachama wa Chadema kutokana na seleka seleka la kuhama kwa wabunge na madiwani ambalo kimsingi limepunguza ushawishi wa chama.... huku kazi kubwa ya Lissu akisaidiwa na Zitto ni kumobilize western support for the final Assault, kuelekea uchaguzi mkuu vyama hivi vitaungana ili kuleta impact kubwa zaidi na hapa inatengenezwa proper timing kulingana na matokeo ya mikakati itakavyokwenda .....

My take:
Ili mpango huu ufanikiwe Other factors should remain costant eg: Msuguano wenye ushawishi kati ya western countries +USA na JPM (Mpak sasa hivi hakuna msuguanao wenye maana), Kuibuka kwa makundi yenye nguvu zaidi ndani ya CCM yanayopingana na sera za JPM (Kurudi kwa Lowasa na Rostam, hili ni kama limezimika, but let us wait and see), kusiwepo na tofauti kati ya Zitto na Chadema kila mmoja aridhike na mipango itakayopangwa. nk....

Hivyo JPM inabidi akae mkao wa kula, hata hivyo JPM yupo vizuri sana kwenye kucheza na nyakati, bado yeye ndo ana nafasi kubwa ya kubadili mchezo anytyme, tutaendelea kushuhudia mambo mengi zaidi ya kisiasa kadiri tunavyohit ucahaguzi mkuu..Leo nimemuona mzee Kikwete akienda ikulu
Huyo mtu wako hana uwezo wa kuwatikisa western Countires,mna over estimate-Ukisha kuwa masikini sana sana utaishia kuwa masikini jeuri kitu ambacho hakikusaidii pia-Hao western counyties ndo wameshika mpini-Atahangaika tu,atabadirisha mawaziri ila haitamsaidia-ULAFI WA MADARAKA HAUJAWAHI KUMUACHA MTU YEYOTE SALAMA-Angalie kinachoendelea kwenye miradi yake-STR nasikia consultant kisharudi Uturuki
 
Ndio maana tunavikataa hivi vyama
Wanajisumbua bure,ccm kung'oka bado sana
Mkuu ni kweli kabisa,ukiangalia mambo madogo madogo kama dini na ukabila Ccm kungoka ni ngumu sana,ila ukiangalia idadi ya watanzania wanaokufa kila mwaka kwa kukosa dawa, ukiangalie elimu wanayopewa watoto wetu, ukiangalia barabara zetu, ukiangalia sera za kumsaidia mnyonge kujitoa unyongeni,ukiangalia namna raslimali za nchi yetu zinavyotumika,ukiangalia uhuru wetu, ukiangalia uwezo wetu wa kuwaadabisha viongozi wetu-CCM inapaswa kungolewa kwa Nguvu hata kesho
 
Wewe siyo mchambuzi,bali ni ushabiki.
Iwe ushabiki au nadharia....!!! siasa ni gambling, na ni kazi kama kazi zingine....aliyekuwa na maslah na taifa ni Nyerere tuu..na ameshakufa amekwenda
 
Nimesoma science na nakubali kwambà wapo ambao ni vichwa. Nimekutana na waalimu chuo kikuu wenye upeo mkubwa kiasi unatamani wangepata uongozi mkubwa. Namkumbuka hasa Prof.mmoja wa physics. Hao wenye uwezo wakijiingia siasa hufanikiwa sana: Margareth Thatcher, Angela Merkel. Lakini huku kwetu watu hawaingii siasa kwa sababu wanao uwezo bali kwa kuona fursa ya maisha. Matokeo yake hata wanasayansi wetu wanaoingia huko siyo wale vichwa bali 'mediocre' na 'opportunists'. Mwanasayansi wa aina hiyo akiingia siasa usitarajie mambo ya maana sana. Atabakia 'opportunists tu, tena mwenye hila nyingi za kijima kwa sababu hujui hata nadharia ya misingi ya uongozi na utawala. Mtu moja maarufu alisema kama hujui misingi ya utawala usitafute uongozi wa kisiasa.

By the way; definition ya science imebadilika mno sasa. Nadhani ni hapa kwetu tu ndio tumebaki na dhana kuwa chemistry, biology na physics ndio science. Lakini nchi nyingine utakuta mtu anasoma finance na course yake inaitwa Bsc Finance, anaesoma marketing Bsc Marketing etc. Sasa kuna mtu kasomea "PhD in maganda ya korosho" halafu anaitwa scientist! Ukiuliza practical use ya hiyo "science" huambiwi zaidi ya kuwa aliesoma ni "smart" kwa kuwa "kasoma science".
 
Nitapambana Na Rushwa Bila Kigugumizi Chochote Na Dawa Ya Jipu Ni Kulitumbua
 
Ndio maana nikakuambia upo sawa kutokana na definitions zako. Umetuambia kuwa Magufuli ni mtu wa facts; lakini ni Magufuli huyo huyo aliesema hadharani kuwa alipoingia madarakani alikuta sukari inauzwa Shilingi elfu 5 kwa kilo. Kwa definition ya ukweli ya walio wengi tunajua huo ni UONGO lakini kwa definition yako ya facts (na lumumba wenzio) huo ni ukweli.
Weka ushahidi hapa la sivyo hizo ni porojo tu. Kwani tangu amengia madarakani umewahi sikia kuna mkoa. umelia njaa au kipindupindu Dar, au mgao wa umeme, ujambazi unausikia tena? Mfumko wa bei je, upo au umedhibitiwa. Najua unajua ila kwa kuwa umezoea siasa za ujanja ujanja ambazo awamu hii hazipo unaona aibu kukiri.
 
Hakuna cha msuguano na USA wala nini,nadhani pana mambo madogo madogo tu ya kurekebisha, endapo msuguano ungefika to that extent kwamba unahatarisha maslahi na usalama wa marekani na rafiki zake, nadhani USA wasingesita kuvunja mahusiano ya kibalozi na kumrudisha nyumbani balozi wake ikiambatana na kumfukuza balozi wa Tanzania nchini USA, kitu ambacho ingekua very danger kwa Tanzania, hakuna nchi yeyote duniani inayoingia kwenye serious mgogoro na USA alafu ikabaki salama hilo sahau, by then Tanzania haina rasilmali za kuifanya USA itumie resource zake kuleta tension nchini, maana hawa jamaa wanaangalia return in, hawako tayari kupoteza resource zao eti kwasababu tu wanataka kumweka mtu fulani madarakani, Tz haina hizo rasimali tunazoaminishwa kwamba tunazo, hata kama zipo not to that extent, dhahabu ya geita, kahama na tanzanite ya mererani plus gas ya mtwara haiwezi ikawapa super profit USA na rafiki zake mpaka wakashawishika kuinvest in dirt game kama,hii, hata hayo mafuta tunaambiwa yapo baharini sio mengi kivile, angalia nchi zenye mafuta kwa wingi, venezuela , Libia, Nigeria na Angola. By the way kwa wale wanaotegemea kumtoa madarakani JPM kwa msaada wa USA na rafiki zake wasahau, hili jambo hawatajaribu kulifanya wao kwa maana biashara hii haitawalipa ni biashara yene hasara, na wazungu hawako tayari kuinvest katika biashara yenye hasara wataishia kulaani kwenye vyombo vya habari vya kimataifa then yataisha.





=
 
Back
Top Bottom