Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,503
- 20,892
Hili halihitaji darubini. Wanaojifaragua kwamba wataomba uteuzi kupita CCM mwaka 2020 wanajifurahisha tu na wao pamoja na wake/waume zao wanalijua hilo vizuri..bila shaka JPM atapita kama mgombea urais kupitia chama tawala (Patamu hapo.)
Sin mda wa kujibizana na mapopoma kama wewe..i cant wast my tym discssng with arrogant nonsens pumpkin..go to the hell dude
Hivi kabisa unaweza kukaa ukajidanganya kuwa Lissu anaweza kumshinda Magufuli 2020?
Sitakushangaa kwa maneno yako hayo sababu hujasoma sayansi hivyo huwezi jua, aliyekuambia mtu anaweza kucram Math au Physics ni nani embu jitokeze wewe ukacram kama hujachanganyikiwa leo hii hii. JPM ni mtu wa fact no porojo wapenda maendeleo tunamuelewa ila wale waliozoea kupiga porojo na siasa mchwara na za ujanja ujanja hawawezi muelewa kamwe.
Nimesoma science na nakubali kwambà wapo ambao ni vichwa. Nimekutana na waalimu chuo kikuu wenye upeo mkubwa kiasi unatamani wangepata uongozi mkubwa. Namkumbuka hasa Prof.mmoja wa physics. Hao wenye uwezo wakijiingia siasa hufanikiwa sana: Margareth Thatcher, Angela Merkel. Lakini huku kwetu watu hawaingii siasa kwa sababu wanao uwezo bali kwa kuona fursa ya maisha. Matokeo yake hata wanasayansi wetu wanaoingia huko siyo wale vichwa bali 'mediocre' na 'opportunists'. Mwanasayansi wa aina hiyo akiingia siasa usitarajie mambo ya maana sana. Atabakia 'opportunists tu, tena mwenye hila nyingi za kijima kwa sababu hujui hata nadharia ya misingi ya uongozi na utawala. Mtu moja maarufu alisema kama hujui misingi ya utawala usitafute uongozi wa kisiasa.[/QUOTE
Sawa mkuu uwe basi unafikiria kisayansi na kujudge kisayansi pia.
Ukweli ukweli ukweli ubarikiweMtu moja maarufu alisema kama hujui misingi ya utawala usitafute uongozi wa kisiasa
Sitakushangaa kwa maneno yako hayo sababu hujasoma sayansi hivyo huwezi jua, aliyekuambia mtu anaweza kucram Math au Physics ni nani embu jitokeze wewe ukacram kama hujachanganyikiwa leo hii hii. JPM ni mtu wa fact no porojo wapenda maendeleo tunamuelewa ila wale waliozoea kupiga porojo na siasa mchwara na za ujanja ujanja hawawezi muelewa kamwe.
Mi ninayo hakika, Lipumba hata agombee ubunge kijiji alichozaliwa hatachaguliwa. Labda apewe tu kwa kupewa na demigodsNguvu ya nini,ya kulala pale Ofisini kwake Buguruni ili Maalim Seif asiingie?
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo mtu wako hana uwezo wa kuwatikisa western Countires,mna over estimate-Ukisha kuwa masikini sana sana utaishia kuwa masikini jeuri kitu ambacho hakikusaidii pia-Hao western counyties ndo wameshika mpini-Atahangaika tu,atabadirisha mawaziri ila haitamsaidia-ULAFI WA MADARAKA HAUJAWAHI KUMUACHA MTU YEYOTE SALAMA-Angalie kinachoendelea kwenye miradi yake-STR nasikia consultant kisharudi UturukiKitendo cha Maalim Seif kujiunga na ACT wazalendo na kuikacha Chadema kama wengi tulivyodhani sio jambo la kukurupuka ila ni well calculated timing attack against a well organized super power CCM.
JPM ni mtu hatari sana kwenye siasa, ni mtu anayeona tatizo kwa haraka na kujiandaa kulikabili vyema..alishaona anaenda kuwekwa mtu kati ndani ya CCM na watu ambao ana tofauti nao lakini wnye nguvu ndani ya Chama (Membe group)
Kwa jicho la tatu alifanya juu chini kuhakikisha kundi lenye nguvu zaidi ndani ya chama tawala linakuwa upande wake by any means (Lowasa group) na hapo akafanikiwa kulivunja nguvu kundi la upande wa pili, Lowassa bado ana nguvu kubwa ya kisiasa na ni mtaji mkubwa sana wa JPM...bila shaka JPM atapita kama mgombea urais kupitia chama tawala (Patamu hapo.)
Changamoto nyingine ilikuwa upande wa pili yaani upinzani, juhudi zilifanyika kuiangamiza CUF na kuimaliza nguvu Chadema, wabunge wengi na madiwani wametimkia CCM..na hilo amefanikiwa kwa kias kikubwa.
Hata hivyo kuna vichwa vitatu makini ambavyo JPM anatakiwa acheze navyo vyema Hawa ni Lissu, Zitto na Seif.
Hawa watu wametazama kwa umakini mwenendo wa siasa za bongo wakaona hakuna uwezekano wa vyama vya upinzani kushinda uchaguzi 2020 kwa njia ya kura, ukiachilia mbali mambo anayoyafanya JPM, bado jamaa anakubalika sana kwa wananchi hasa maeneo muhimu kwa kura, hivyo kwa vyovyote vike kushindwa ni hakika.
Kwa mtazamo huo Lissu na Zitto wkaamua kutafuta msaada nje ya box through western countries, na hivyo wanafanya kila wawezalo kuhakikisha Nchi za Magharibi zinaimulika Tz kwa jicho la pekee, JPM anajaribu kuwatikisa hawa jamaa wa magahribi, uongozi wake unaenda kinyume na propaganda za magharibi (mf ) kuminywa uhuru wa vyombo vya habari, kuminywa kwa democrasia na kuegemea kwake kwa nchi kama china n.k ..
Hivyo Lissu pamoja na Zitto wanatumia Mwanya huo kupress ili hizi nchi zihakikishe zinashawishika kumwondolea mbali JPM 2020, na kwa vyovyote vile Lissu na Zitto ni vibaraka wa hawa jamaa.
Hata hivyo hawa wazungu hawawezi kukupa tu msaada wa ushindi kwenye uchaguzi kama hawajajiridhisha ya kuwa watafaidika zaidi kuliko wanavyofaidika sasa, pili hawawezi kwenda nje ya propaganda yao ya democrasia na hivyo lazima ujipange kupata support ya wapiga kura wa kutosha, na hapa ndipo mkakati kabambe umesukwa....
Hoja ikaja, Ili kupata mtaji mkubwa wa wapiga kura lazima vyama vikuu vya upinzani viunganishe nguvu, mambo ya kupambana separately inabidi yakae pembeni...possibly mipango kabambe imeenda kama ifuatavyo.
CUF ni kama imeyumba sana, hata hivyo ni chama chenye mtaji mkubwa wa wapiga kura hasa visiwani na maeneo ya Pwani, huku chama kikiwa na mpasuko mkubwa, bado Maalimu Seif ana ushawishi mkubwa kwa wapiga kura na hivyo support yake haitakiwi kupuuzwa.
Kwa vyovyote vile Seif alitakiwa ahame ili kuhamisha kura sehemu salama kwa upinzani...suala la kidini likaibuka, chama cha Chadema kimsingi kina msingi wa kikristo sana , wanachama na wafuasi wa CUF 90% ni muslim na wana itikadi kali hawa watu.. Hivyo tactically haitaleta matokeo mazuri kwa Seif kuhamia Chadema, badala yake best option ikaja Seif atimukie ACT ambayo msingi wake mkuu pia ni uislamu na hivyo support itakuwa kubwa visiwani na Pwani.
Hivyo Zitto na Seif kazi kubwa waliyo nayo ni kuorganize wanachama wa CUF na ACT wazalendo wawe kitu kimoja for the final battle, kazi kubwa itakayobaki kwa Mbowe ni kuorganize wanachama wa Chadema kutokana na seleka seleka la kuhama kwa wabunge na madiwani ambalo kimsingi limepunguza ushawishi wa chama.... huku kazi kubwa ya Lissu akisaidiwa na Zitto ni kumobilize western support for the final Assault, kuelekea uchaguzi mkuu vyama hivi vitaungana ili kuleta impact kubwa zaidi na hapa inatengenezwa proper timing kulingana na matokeo ya mikakati itakavyokwenda .....
My take:
Ili mpango huu ufanikiwe Other factors should remain costant eg: Msuguano wenye ushawishi kati ya western countries +USA na JPM (Mpak sasa hivi hakuna msuguanao wenye maana), Kuibuka kwa makundi yenye nguvu zaidi ndani ya CCM yanayopingana na sera za JPM (Kurudi kwa Lowasa na Rostam, hili ni kama limezimika, but let us wait and see), kusiwepo na tofauti kati ya Zitto na Chadema kila mmoja aridhike na mipango itakayopangwa. nk....
Hivyo JPM inabidi akae mkao wa kula, hata hivyo JPM yupo vizuri sana kwenye kucheza na nyakati, bado yeye ndo ana nafasi kubwa ya kubadili mchezo anytyme, tutaendelea kushuhudia mambo mengi zaidi ya kisiasa kadiri tunavyohit ucahaguzi mkuu..Leo nimemuona mzee Kikwete akienda ikulu
Mkuu ni kweli kabisa,ukiangalia mambo madogo madogo kama dini na ukabila Ccm kungoka ni ngumu sana,ila ukiangalia idadi ya watanzania wanaokufa kila mwaka kwa kukosa dawa, ukiangalie elimu wanayopewa watoto wetu, ukiangalia barabara zetu, ukiangalia sera za kumsaidia mnyonge kujitoa unyongeni,ukiangalia namna raslimali za nchi yetu zinavyotumika,ukiangalia uhuru wetu, ukiangalia uwezo wetu wa kuwaadabisha viongozi wetu-CCM inapaswa kungolewa kwa Nguvu hata keshoNdio maana tunavikataa hivi vyama
Wanajisumbua bure,ccm kung'oka bado sana
Nikikuita Mfariji mkuu nitakuwa sijakoseaLipumba Bado Ana Nguvu Bara
Nimesoma science na nakubali kwambà wapo ambao ni vichwa. Nimekutana na waalimu chuo kikuu wenye upeo mkubwa kiasi unatamani wangepata uongozi mkubwa. Namkumbuka hasa Prof.mmoja wa physics. Hao wenye uwezo wakijiingia siasa hufanikiwa sana: Margareth Thatcher, Angela Merkel. Lakini huku kwetu watu hawaingii siasa kwa sababu wanao uwezo bali kwa kuona fursa ya maisha. Matokeo yake hata wanasayansi wetu wanaoingia huko siyo wale vichwa bali 'mediocre' na 'opportunists'. Mwanasayansi wa aina hiyo akiingia siasa usitarajie mambo ya maana sana. Atabakia 'opportunists tu, tena mwenye hila nyingi za kijima kwa sababu hujui hata nadharia ya misingi ya uongozi na utawala. Mtu moja maarufu alisema kama hujui misingi ya utawala usitafute uongozi wa kisiasa.
Weka ushahidi hapa la sivyo hizo ni porojo tu. Kwani tangu amengia madarakani umewahi sikia kuna mkoa. umelia njaa au kipindupindu Dar, au mgao wa umeme, ujambazi unausikia tena? Mfumko wa bei je, upo au umedhibitiwa. Najua unajua ila kwa kuwa umezoea siasa za ujanja ujanja ambazo awamu hii hazipo unaona aibu kukiri.Ndio maana nikakuambia upo sawa kutokana na definitions zako. Umetuambia kuwa Magufuli ni mtu wa facts; lakini ni Magufuli huyo huyo aliesema hadharani kuwa alipoingia madarakani alikuta sukari inauzwa Shilingi elfu 5 kwa kilo. Kwa definition ya ukweli ya walio wengi tunajua huo ni UONGO lakini kwa definition yako ya facts (na lumumba wenzio) huo ni ukweli.