dolevaby
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 12,958
- 9,516
Kijana wa Dr kreluu?Mwamwindi alikuwa kichaa tu, ukoo wao una asili ya uchizi, wala sio wa kusifiwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kijana wa Dr kreluu?Mwamwindi alikuwa kichaa tu, ukoo wao una asili ya uchizi, wala sio wa kusifiwa.
Kapigwa chini...Iringa Halmashauri ipo chini ya CHADEMA...Aman Mwamwindi ni mwana CCMMtoto wa mwamindi ni meya wa Iringa sasa
Nawe si umeaminishwa hayo na yule marehemu ustaadh ilunga?Dr.Kleruu alipigwa Risasi Shambani kwa Mwamwindi akiwa Kaenda kumzuia asilime Mazao anayoyataka badala yake alime zao la biashara kwa Gharama zake halafu akawauzie vyama vya ushirika kwa bei waliyojipangia serikali halafu watalipa siku wakijiskia, hata Risasi alipigiwa shambani sio gesti wala kitandani.
Enzi zile ni enzi za Propaganda kama uliweza kuaminishwa Iddi Amin anakula watu na wewe ukaamini huwezi kuacha kuamini uongo eti kisa Kilikuwa uzinzi!
No, sio trekta.Dr. Kleruu wapo wengi sana Nyakati hizi ila Majasiri kama akina Said Mwamwindi hawapo!!
Huyu Mkulima alimtandika Risasi RC akamtia kwny Trekta lake akampeleka kwa RPC akamwambia nimewaletea Mzoga Wenu.
Juzi kati hapa Mgambo tu wa TANAPA wameharibu mashamba ya Mahindi zaid ya heka 400 huko Mbeya kisa wamelima kwenye Hifadhi, halafu wanakijiji wanakimbilia ITV !!!
Alishinda kesi...lakini kutokana na kwamba viongozi wengi wanatabia kama zakeNa Mwamwindi kilipata nini baada ya hapo?
CC . RC Mwanza..!
Wapo Isimani uwanja wa ndege wa Nduli kama waelekea Dodoma kuna kimnara cha Dr.KleruuHawa akina Mwamwindi wapo sehem gani hapo Iringa.. tupay visit ...
The untold heroes.
Mkuu hebu funguka, niliwahi kuwaukiza wenzangu same question why alienda mwenyewe? Why ali drive mwenyewe?Ilikuweje aende peke yake bila mtu mwingineAyote, dereva, askari, mkuu wa Wilaya.
Unajua ni kwa nini wakuu wa mikoa waliandamana Ikulu baada ya hukumu ys awali?
Usikurupuke mkuu, kuna kitu zaidi ya hicho ulichoaminishwa
Siyo kweli! Mwamwindi aliua kwa vile alikuwa provoked na huyo RC. RC alimfuata shambani kwake akiwa anasimamia vibarua, shamba ambalo lilikuwa kubwa sana na wakati huo ndo siasa ya ujamaa na kujitegemea ilikuwa imeshika kasi, Mwamwindi wakawa wanamwona kama bepari fulani hivi. Maana jamaa alikuwa amejiimarisha sana katika maswala ya kilimo, ieleweke kwamba enzi hizo watu waliokuwa na combine harvester walikuwa wa kuhesabika na Mwamwindi akiwamo. RC alipofika shambani kwa Mhehe akawa anamchomachoma tumbo kwa fimbo yake (kama ya Nyerere) huku akisema hili tumbo lina mirija ya unyonyaji. Hapo hapo Mhehe akahamaki ndo akaenda kuchukua riffle yake na kummiminia risasi hapo hapo shambani. Wacha niishie hapo maana hadithi ya Mwamwindi ni ndefu sana! Wewe kijana wa jana nawe unajidai kutuletea hadithi ya Mwamwindi?
Tangu wamwue Mwamwindi, Isimani sasa hivi inapelekewa misaada ya chakula tofauti na enzi za hao wazee, ilikuwa na uwezo wa kulisha mikoa kadhaa ya Tanzania. Lukuvi yupo jina tu!Mkuu upo sahihi kabisa na hiyo ishu mzee wangu aliishuhudia kwa macho yake, anasema ilikua 26 december boxing day na yeye alikua ni mmoja kati ya vijana wa wakulima wakubwa waliopelekwa detention baada ya hayo mauaji...babu yangu yeye aliwekwa detention Dodoma ila walikuja kuachiwa huru na Mwamwindi alinyongwa.
Tangu wamwue Mwamwindi, Isimani sasa hivi inapelekewa misaada ya chakula tofauti na enzi za hao wazee, ilikuwa na uwezo wa kulisha mikoa kadhaa ya Tanzania. Lukuvi yupo jina tu!
Tangu wamwue Mwamwindi, Isimani sasa hivi inapelekewa misaada ya chakula tofauti na enzi za hao wazee, ilikuwa na uwezo wa kulisha mikoa kadhaa ya Tanzania. Lukuvi yupo jina tu!
Siyo kwenye tractor mkuu, aliuweka mwili wake kwenye gari ya serikali Peugeot 404 aliyokuwa anatumia RC akaendesha yeye hadi central police huku pia akiwa amevaa kofia - pama ya marehemuDr. Kleruu wapo wengi sana Nyakati hizi ila Majasiri kama akina Said Mwamwindi hawapo!!
Huyu Mkulima alimtandika Risasi RC akamtia kwny Trekta lake akampeleka kwa RPC akamwambia nimewaletea Mzoga Wenu.
Juzi kati hapa Mgambo tu wa TANAPA wameharibu mashamba ya Mahindi zaid ya heka 400 huko Mbeya kisa wamelima kwenye Hifadhi, halafu wanakijiji wanakimbilia ITV !!!