Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona ni kama uliipiga picha kwa kujifichaficha na kwa taabu sana. Au na wewe ulimuona mkulima Mwamwindi?
Hivi itahidi kuta picha ya Dk Kleru sijafanikiwa nani anaweza kunisaidia??Hii ni nyumba ya kihistoria iliyojengwa na muingereza ambayo baada Tanzania kupata uhuru nyumba hiyo ilianza kutumiwa na Mkuu wa mkoa ambaye kwa wakati huo alikuwa ni mmoja wa wasomi wachache waliokuwa Tanzania ndugu Dr. Wilbert Kleruu.
Kwa wale wanaoijua historia na wale waliosoma sheria jina Said Mwamwindi na Dr. Kleruu (Said Mwamwindi v R (1972) HCD 212 ) sio majina mageni kwao.Pia kuna chuo cha Ualimu kimejengwa kuenzi kazi iliyotukuka ya Dr. Kleruu.
Kwa bahati mbaya nyumba hii haijatumiwa tena na wakuu wa mikoa waliofuata baada ya kifo cha Dr. Kleruu kutokana na kile kinachosemekana kuwa uoga.Nyumba hii imekuwa ikitumiwa na Jeshi.
Mbaraka Mwinshehe naye amepata kumuimba dr. Kleruu
hapana chezeeaAlale pema peponi kamanda
the best cloned westernised mind !!! Sasa nitashangaaa nini.mwamindi alikuwa anapinga unyonyaji. ujamaa ni mfumo wa kinyonyaji.
Mi nashangaa bado kuna watu wana hangover ya ujamaa!!.the best cloned westernised mind !!! Sasa nitashangaaa nini.
that is trueMi nashangaa bado kuna watu wana hangover ya ujamaa!!.
Mmmmmmh mbona naanza kupata wasiwasi na hii historia? isije kuwa ilishachakachuliwa na kuaminishwa ndivyo sivyo. Coz sisi ni mabingwa wa propaganda balaaa(Kama tulivyoaminishwa kuwa Iddi Amini alikuwa anakula nyama za watu😡😡😡)Ilikuweje aende peke yake bila mtu mwingine yeyote, dereva, askari, mkuu wa Wilaya.
Unajua ni kwa nini wakuu wa mikoa waliandamana Ikulu baada ya hukumu ys awali?
Usikurupuke mkuu, kuna kitu zaidi ya hicho ulichoaminishwa
Alikuwa mzinzi sana, acha ubishi....Hata Said Mwamwindi 'kosa lake' ni kulima zao lisilotakiwa kulimwa lakin hakukimbilia 'ITV' matokeo yake alitafakari akachukua Hatua
Hivi Tanzania ilipata uhuru lini?Hii ni nyumba ya kihistoria iliyojengwa na muingereza ambayo baada Tanzania kupata uhuru nyumba hiyo ilianza kutumiwa na Mkuu wa mkoa ambaye kwa wakati huo alikuwa ni mmoja wa wasomi wachache waliokuwa Tanzania ndugu Dr. Wilbert Kleruu.
Kwa wale wanaoijua historia na wale waliosoma sheria jina Said Mwamwindi na Dr. Kleruu (Said Mwamwindi v R (1972) HCD 212 ) sio majina mageni kwao.Pia kuna chuo cha Ualimu kimejengwa kuenzi kazi iliyotukuka ya Dr. Kleruu.
Kwa bahati mbaya nyumba hii haijatumiwa tena na wakuu wa mikoa waliofuata baada ya kifo cha Dr. Kleruu kutokana na kile kinachosemekana kuwa uoga.Nyumba hii imekuwa ikitumiwa na Jeshi.
Mbaraka Mwinshehe naye amepata kumuimba dr. Kleruu
neno sahihi ni ilipewaHivi Tanzania ilipata uhuru lini?
Wewe ndio umesema historia halisi, hawa wengine wanapotosha tu. Watanzania bwana sijui nani alituroga tu? Hivi kuna haja gani ya kupindisha pindisha historia> Dr. Kleruu alikua mzinzi kama yalivyo ma ccm menzake leo hii, na kwa kweli alilipwa sawa sawa kutokana na matendo yake. Huo ndio ukweli, na Vijana wangu hiyo ndiyo historia ya kweli. Msipotoshwe.Ni kweli, Dr. Kleruu hakuwa na ethics. Siku hiyo ya krismas aliyokumbwa na mauti aliondoka kwenda kumchukua yule mwanamke wa mzee Mwamwindi bila hata kuwa na dereva wala askari mlinzi. Kwa bahati mbaya alipofika pale akamkuta mzee Mwamwindi mwenye mali mwenyewe akiwa yupo nyumbani. Yaliyobaki leo ni historia tu.