Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,984
Polepole anatafuta namna ya kuwafanya Wananchi wajinga, anatafuta namna ya kutumia kile chumba anachodai kimevunjwa kuonyesha Wananchi kwamba yeye ni mzalendo na hakujilimbikizia Mali, anataka kuonyesha Wananchi kwamba yeye ni fukara na mtu wa kiwango Cha chini kimaisha. Tumpuuze
Kwanini ameyafanya haya? Kwanza anataka kubadili upepo na agenda za kitaifa ikiwemo katiba Mpya na kutamka kurejea kwenye meza ya mazungumzo ndani ya CCM akionekana mwanamikakati. Hii tabia ya miaka mingi inayotumiwa na walafi wa madaraka.
Pili anataka yeye pamoja na vibaraka wake endapo mfumo utaamua kufungua shauri na kuchunguza MATENDO yake ndani ya chama na adhari zake kwenye serikali basi arudi Kwa Wananchi kupitia picha alizotuma apate uungwaji MKONO kwamba anaonewa. Mfano mzuri WA eneo analojua linaweza kumpeleka mahakamani kwa makosa ya Uhujumu uchumi ni pamoja na kununua wapinzani ambapo mfano wa wazi ni kile kitendo Cha yeye kupeleka milioni 30 mahakamani kumnunua Mashinji.
Tatu, kupitia tukio hili anataka kunyamaza atuaminishe amenyamazishwa kumbe maovu yake huko nyuma yalishamnyamazisha Toka mteule wake wa awali alipoondoka.
Polepole amekuwa live kwenye shule yake sijui ya siasa na mandhari aliyokuwa anarushia matangazo ipo wazi, anamzuga Nani? Wabunge Wana nyumba Dodoma yeye alikwenda kupanga chumba Kwa kukosa Kodi au kwa sababu gani? Mbunge Hana viti Wala kitanda, hizi michezo inatuondoaje kwenye reli? Lakini pia kaongea Dar mara kesho yake anadai alikuwa Manyara na anarudi Dodoma ndo anakuta pamevunjwa je Hana majirani? Hawa watu wanapeana michongo ya kututawala Kwa kupanua magoli , tushtuke uhuni huu.
Kwanini ameyafanya haya? Kwanza anataka kubadili upepo na agenda za kitaifa ikiwemo katiba Mpya na kutamka kurejea kwenye meza ya mazungumzo ndani ya CCM akionekana mwanamikakati. Hii tabia ya miaka mingi inayotumiwa na walafi wa madaraka.
Pili anataka yeye pamoja na vibaraka wake endapo mfumo utaamua kufungua shauri na kuchunguza MATENDO yake ndani ya chama na adhari zake kwenye serikali basi arudi Kwa Wananchi kupitia picha alizotuma apate uungwaji MKONO kwamba anaonewa. Mfano mzuri WA eneo analojua linaweza kumpeleka mahakamani kwa makosa ya Uhujumu uchumi ni pamoja na kununua wapinzani ambapo mfano wa wazi ni kile kitendo Cha yeye kupeleka milioni 30 mahakamani kumnunua Mashinji.
Tatu, kupitia tukio hili anataka kunyamaza atuaminishe amenyamazishwa kumbe maovu yake huko nyuma yalishamnyamazisha Toka mteule wake wa awali alipoondoka.
Polepole amekuwa live kwenye shule yake sijui ya siasa na mandhari aliyokuwa anarushia matangazo ipo wazi, anamzuga Nani? Wabunge Wana nyumba Dodoma yeye alikwenda kupanga chumba Kwa kukosa Kodi au kwa sababu gani? Mbunge Hana viti Wala kitanda, hizi michezo inatuondoaje kwenye reli? Lakini pia kaongea Dar mara kesho yake anadai alikuwa Manyara na anarudi Dodoma ndo anakuta pamevunjwa je Hana majirani? Hawa watu wanapeana michongo ya kututawala Kwa kupanua magoli , tushtuke uhuni huu.