Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Udongo wa hapo....!!Picha za ndani wapi?
Niliomba jina Kozaa walifute naona bado inasumbuaHalafu no ya simu kwa wote wawili inafanana kwenye hili tangazo
Wanaishi watu ndio maana tumezibaMadirisha mbona yamezibwa?
Ukipiga gharama inapita ndugu. Kuoauwa tu ni 7.8 Milion. Ujenzi hadi ilipofika ni zaidi ya mil 15. Kiwanja n.k ni zaidi ya mil 2. Maongezi yapo lakini. Hapo pamejengwa Sink la maji pipa 80, umeme, maji ya KIUWASA. Inazidi sana ndugu. Ila mteja wa haraka tunakubaliana nimuuzie tuHamna nyumba ya 25m hapo mkuu kuwa mkweli
Hatutakosana kwa mteja siriaz. Nami nina uhitaji sana kwa sasaUkipiga gharama inapita ndugu. Kuoauwa tu ni 7.8 Milion. Ujenzi hadi ilipofika ni zaidi ya mil 15. Kiwanja n.k ni zaidi ya mil 2. Maongezi yapo lakini. Hapo pamejengwa Sink la maji pipa 80, umeme, maji ya KIUWASA. Inazidi sana ndugu. Ila mteja wa haraka tunakubaliana nimuuzie tu
Udongo kipindi cha mvua na picha imeukoleza sana.Udongo wa hapo....!!
Wanunuzi mjitokeze tumalize biashara. Utafurahia ni nyumba kubwa sana, hiyo bei ukifika utaona kuwa umeuziwa ndogo sana.Inauzwa ipo Businde nyuma ya airport Kigoma mjini.
Bei 25,000,000
0689616537
Vyumba 4, kimoja masters, sebule kubwa, dinning, jiko,stoo.
Kiwanja 18 kwa 25.
View attachment 2732688View attachment 2732691
Kama ww sio mnunuzi,niunganishe na muhitaji. Ni muhimu sana mauziabo kwa muda huu.Wanunuzi mjitokeze tumalize biashara. Utafurahia ni nyumba kubwa sana, hiyo bei ukifika utaona kuwa umeuziwa ndogo sana.