Sisi wanaume tunaiga vitu vingine s/times, Ni nini kinakupeleka kwenye nyumba ndogo? nini ambacho mkeo anacho nyumba ndogo haina? ni kutafuta magonjjwa ya moyo kabla ya magonjwa ya zinaa kwa mfano una kamshara ka laki 3/5 na ndg wanakutegemea mkeo na watoto na nyumba ndogo tena? .
Dah hapa patamu sana kwa hiyo baba ana mega bila kujua na mama nae ana megwa nje bila kujua wakirudi home ngoma inakuwa droo hakuna wa kumlaumu mwenzie vp mkikutana Guest Hausi moja itakuwaje?
Sisi wanaume tunaiga vitu vingine s/times, Ni nini kinakupeleka kwenye nyumba ndogo? nini ambacho mkeo anacho nyumba ndogo haina? ni kutafuta magonjjwa ya moyo kabla ya magonjwa ya zinaa kwa mfano una kamshara ka laki 3/5 na ndg wanakutegemea mkeo na watoto na nyumba ndogo tena?
Tena siku hizi mimi naona nyumba ndogo kama zinapungua wanaume wengi tumeshtuka ni ushamba uliokitihiri. Ni wachache sana wasio na uelewa wanaendelea na hii thana potofu.
Kabla ya kushabikia if they are there to stay or wither, answer these simple questions:
1.WHO ARE THESE SO CALLED NYUMBA NDOGOS ( their categories, marital status, social strata, etc)
2.Kama umeshaainisha na kuwaelewa hao nyumba ndogo ni akina nani, je uko tayari kwa consequences/implications/ramifications za kuwa nao?
Ukijipa majibu yake kikamilifu..im sure wengi mlioshabikia mtafikiria mara mbilimbili na huenda by the time u r done mtakuwa mmefura kwa hasira!
Good luck!
hahaaa triplets usinisingizie, ZD ndo mambo yake yale lol!!!
EEH!
haya bwana/bibi.
nipe msimamo wako basi.mimi ki-blurei hakipandi sana.
Sisi wanaume tunaiga vitu vingine s/times, Ni nini kinakupeleka kwenye nyumba ndogo? nini ambacho mkeo anacho nyumba ndogo haina? ni kutafuta magonjjwa ya moyo kabla ya magonjwa ya zinaa kwa mfano una kamshara ka laki 3/5 na ndg wanakutegemea mkeo na watoto na nyumba ndogo tena?
Tena siku hizi mimi naona nyumba ndogo kama zinapungua wanaume wengi tumeshtuka ni ushamba uliokitihiri. Ni wachache sana wasio na uelewa wanaendelea na hii thana potofu.
Thats my boy! Hahaha! Umechelewa sana leo mpwa! LOL!
Sisi wanaume tunaiga vitu vingine s/times, Ni nini kinakupeleka kwenye nyumba ndogo? nini ambacho mkeo anacho nyumba ndogo haina? ni kutafuta magonjjwa ya moyo kabla ya magonjwa ya zinaa kwa mfano una kamshara ka laki 3/5 na ndg wanakutegemea mkeo na watoto na nyumba ndogo tena?
Tena siku hizi mimi naona nyumba ndogo kama zinapungua wanaume wengi tumeshtuka ni ushamba uliokitihiri. Ni wachache sana wasio na uelewa wanaendelea na hii thana potofu.
Naapa na Mungu anisaidie sitotoka nje ya ndoa yangu, I m here to make the difference.
Its not about money mkuu...sometime wake wanajua kuchokonoa sehemu ambazo zinatuchoma kiasi kwamba unajikuta unatafuta yule asiye kuumiza akili...wanawake there is nothing wrong with being submissive, the best and longest marriages in the world are the one where the wife knew everything but paid no mind...affairs ni vitu vya mpito...mke ni milele mtazeeka wote na kufutana mavi uzeeni!! Tatizo mademu wa siku hizi too much alicia keys , beyonce wanaishia kulalamika 24/7 that pushes a man away!!
Xpin upo?unasikia maneno hayo ya shem nguli? I hope utalifanyia kazi hili na hao akina Big lady hawatakuwa tatizo(u know worram seyying)
Hata ya bht, zd na triplets. Cha msingi ni SIRI!! Thats all.
Its not about money mkuu...sometime wake wanajua kuchokonoa sehemu ambazo zinatuchoma kiasi kwamba unajikuta unatafuta yule asiye kuumiza akili...wanawake there is nothing wrong with being submissive, the best and longest marriages in the world are the one where the wife knew everything but paid no mind...affairs ni vitu vya mpito...mke ni milele mtazeeka wote na kufutana mavi uzeeni!! Tatizo mademu wa siku hizi too much alicia keys , beyonce wanaishia kulalamika 24/7 that pushes a man away!!