Administer
JF-Expert Member
- Feb 9, 2020
- 1,271
- 1,604
Naomba kuuliza nyumba yenye urefu na upana wa futi 30 hiyo ni nyumba ndogo au kubwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiilinganisha na kubwa zaidi ya hiyo itakuwa ndogo, ukiilinganisha na ndogo zaidi ya hiyo itakuwa kubwaNaomba kuuliza nyumba yenye urefu na upana wa futi 30 hiyo ni nyumba ndogo au kubwa?
Hii ni nyumba ya wastani. Kwa Watanzania wa kawaida ni nyumba ya wastani.Naomba kuuliza nyumba yenye urefu na upana wa futi 30 hiyo ni nyumba ndogo au kubwa?