ntakutafuta jioni, I Hope we sio dalaliSalamu salama... Humu ndani
Napangisha nyumba na sebule yake ambayo. Ni master yani Chumba chenye choo ndani na sebule yake pamoja na jiko vyote vipo ndani , ipo maeneo ya mwenge karibu kabisa na bamaga na ITV stend ipo ndani ya geti kama una gari parking ipo ya kutosha na maji ni uhakika 24/7 bei yake ni laki2 tu kwa mwezi
Mawasiliano zaidi 0658183618 au 0758020809
Sent using Jamii Forums mobile app
Picha hizo prof vipi banaaPorojo nyingi picha hakuna.
-Ndumilakuwili-
Hapajasafishwa bado na hapo sikuwasha taa tatu camera ya simu yangu pia haitoi vizuri lakini ni pa kusafisha tuHuu muonekano wa sehemu ya maliwato ndo uko hivi hivi au hapo bado hapajasafishwa?
-Ndumilakuwili-
Mku bei ganiHapajasafishwa bado na hapo sikuwasha taa tatu camera ya simu yangu pia haitoi vizuri lakini ni pa kusafisha tu
Sent using Jamii Forums mobile app