House4Rent Nyumba inapangishwa

House4Rent Nyumba inapangishwa

JMWAKA

JF-Expert Member
Joined
Jun 18, 2012
Posts
739
Reaction score
652
Salamu salama... Humu ndani
Napangisha nyumba na sebule yake ambayo. Ni master yani Chumba chenye choo ndani na sebule yake pamoja na jiko vyote vipo ndani , ipo maeneo ya mwenge karibu kabisa na bamaga na ITV stend ipo ndani ya geti kama una gari parking ipo ya kutosha na maji ni uhakika 24/7 bei yake ni laki2 tu kwa mwezi

Mawasiliano zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salamu salama... Humu ndani
Napangisha nyumba na sebule yake ambayo. Ni master yani Chumba chenye choo ndani na sebule yake pamoja na jiko vyote vipo ndani , ipo maeneo ya mwenge karibu kabisa na bamaga na ITV stend ipo ndani ya geti kama una gari parking ipo ya kutosha na maji ni uhakika 24/7 bei yake ni laki2 tu kwa mwezi

Mawasiliano zaidi 0658183618 au 0758020809

Sent using Jamii Forums mobile app
ntakutafuta jioni, I Hope we sio dalali
 
weka picha
eb8b4251aab2934f644dc72dba2a2197.jpg
06ba7274d68c528b72da439fa3e23804.jpg
219ad527851572584059df7a667882b6.jpg
d663912b2a33cc5203d17ea57af0b033.jpg
f7d1f9a73d209d6b54b9102bbf55a72b.jpg
0e5158da1d4e232deea814d1b66e6aa6.jpg
1654b679f9644e97cffe37ffcf9f6e6b.jpg
b705f6eabf9c98ed2bc1434f0cf613a9.jpg
20294dc3d1261bc1eef19756b99f2a95.jpg
9843c7f784649c42be2f238139b45f3b.jpg
1a1ff4679b7ab488c27f8de2847bf68b.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu muonekano wa sehemu ya maliwato ndo uko hivi hivi au hapo bado hapajasafishwa?
1d60bcf7aafec6781b64d71c37fc899c.jpg
e45ed8780f4a091cdfb34d785fb2bd93.jpg


-Ndumilakuwili-
 
punguza bei mkuu laki na nusu nichukue nyumba hiyo
 
Back
Top Bottom