JMWAKA
JF-Expert Member
- Jun 18, 2012
- 739
- 652
Salamu salama... Humu ndani
Napangisha nyumba na sebule yake ambayo. Ni master yani Chumba chenye choo ndani na sebule yake pamoja na jiko vyote vipo ndani , ipo maeneo ya mwenge karibu kabisa na bamaga na ITV stend ipo ndani ya geti kama una gari parking ipo ya kutosha na maji ni uhakika 24/7 bei yake ni laki2 tu kwa mwezi
Mawasiliano zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Napangisha nyumba na sebule yake ambayo. Ni master yani Chumba chenye choo ndani na sebule yake pamoja na jiko vyote vipo ndani , ipo maeneo ya mwenge karibu kabisa na bamaga na ITV stend ipo ndani ya geti kama una gari parking ipo ya kutosha na maji ni uhakika 24/7 bei yake ni laki2 tu kwa mwezi
Mawasiliano zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app