House4Sale Nyumba inauzwa 10.5m na benki kwa njia ya mnada

House4Sale Nyumba inauzwa 10.5m na benki kwa njia ya mnada

Joined
Jun 11, 2011
Posts
82
Reaction score
46
Habari JamiiForums members.

Nyumba inauzwa na benki kwa njia ya mnada. -- Nyumba ipo Mbezi, Msingwa

--Nyumba ina kiwanja chenye ukubwa wa 520sq/m-- Nyumba ina vyumba vitatu, kimoja master, seating na dyning room -- Nyumba ina hati ya ardhi-- BEI NI (10m + 5% commission ya brokers)

--Mawasiliano: 0784379396 & 0767309797 ( calls & sms & watsaap)
IMG-20231024-WA0008.jpg
IMG-20231024-WA0003.jpg
IMG-20231024-WA0004.jpg
IMG-20231024-WA0005.jpg
IMG-20231024-WA0009.jpg
 
Habari jamii forums members.
Nyumba inauzwa na benki kwa njia ya mnada. -- Nyumba ipo mbezi msingwa
--Nyumba ina kiwanja chenye ukubwa wa 520sq/m-- Nyumba ina vyumba vitatu, kimoja master, seating na dyning room -- Nyumba ina hati ya ardhi-- BEI NI (10m + 5% commission ya brokers)
--Mawasiliano: 0784379396 & 0767309797 ( calls & sms & watsaap)
Kweli kabisa unatuita ati nyumba inauzwa, GT kabisa wa JF [emoji44][emoji44][emoji44][emoji44]
 
Habari jamii forums members.
Nyumba inauzwa na benki kwa njia ya mnada. -- Nyumba ipo mbezi msingwa
--Nyumba ina kiwanja chenye ukubwa wa 520sq/m-- Nyumba ina vyumba vitatu, kimoja master, seating na dyning room -- Nyumba ina hati ya ardhi-- BEI NI (10m + 5% commission ya brokers)
--Mawasiliano: 0784379396 & 0767309797 ( calls & sms & watsaap)


Nyumba inauzwa kwa mnada, halafu wewe una bei tayari, huu si wendawazimu?
 
Habari jamii forums members.
Nyumba inauzwa na benki kwa njia ya mnada. -- Nyumba ipo mbezi msingwa
--Nyumba ina kiwanja chenye ukubwa wa 520sq/m-- Nyumba ina vyumba vitatu, kimoja master, seating na dyning room -- Nyumba ina hati ya ardhi-- BEI NI (10m + 5% commission ya brokers)
--Mawasiliano: 0784379396 & 0767309797 ( calls & sms & watsaap)
Hii nyumba au pagale?
 
Ni nyumba au PAGALA unajua maana ya nyumba bwashehe


Huyo alokopa ameamua kuuzia benki pagala hilo kiaina watu wahuni sana
 
Back
Top Bottom