leonard ngobole
Member
- Jun 11, 2011
- 82
- 46
Kweli kabisa unatuita ati nyumba inauzwa, GT kabisa wa JF [emoji44][emoji44][emoji44][emoji44]Habari jamii forums members.
Nyumba inauzwa na benki kwa njia ya mnada. -- Nyumba ipo mbezi msingwa
--Nyumba ina kiwanja chenye ukubwa wa 520sq/m-- Nyumba ina vyumba vitatu, kimoja master, seating na dyning room -- Nyumba ina hati ya ardhi-- BEI NI (10m + 5% commission ya brokers)
--Mawasiliano: 0784379396 & 0767309797 ( calls & sms & watsaap)
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mods tuu ndio wanajitahidi wao wapo kwa wazazi.
Loan officer alikula parefu sana.
Habari jamii forums members.
Nyumba inauzwa na benki kwa njia ya mnada. -- Nyumba ipo mbezi msingwa
--Nyumba ina kiwanja chenye ukubwa wa 520sq/m-- Nyumba ina vyumba vitatu, kimoja master, seating na dyning room -- Nyumba ina hati ya ardhi-- BEI NI (10m + 5% commission ya brokers)
--Mawasiliano: 0784379396 & 0767309797 ( calls & sms & watsaap)
Hii nyumba au pagale?Habari jamii forums members.
Nyumba inauzwa na benki kwa njia ya mnada. -- Nyumba ipo mbezi msingwa
--Nyumba ina kiwanja chenye ukubwa wa 520sq/m-- Nyumba ina vyumba vitatu, kimoja master, seating na dyning room -- Nyumba ina hati ya ardhi-- BEI NI (10m + 5% commission ya brokers)
--Mawasiliano: 0784379396 & 0767309797 ( calls & sms & watsaap)
Watu wanatafuta hela bwashee ukute jamaa alichukua benki mkopo hata wa 100m kwa hilo pagale
We massawee tuliaDah Nina million 4 Nina Imani nitapewa nyumba hiyo nihamie kwangu