dovillenproperty
JF-Expert Member
- Nov 24, 2014
- 3,203
- 2,227
Yeah ni kweli mkuu ila inategemeana na mahali unaponunulia,au unapotaka kujengeaAiseee
Kwa hiyo gharama unanunua kiwanja na kujenga mpya ya maana
Ndio ivyo mkuu maisha tonatofautiana sanaPesa hazichimbwi jamani.300 sio hela ndogo
Hapana mkuu hakuna tatizo kama unazihitaji nyingine zaidi naweza kutuma kesho mapemaiyo picha mbona umepiga ki wizi wizi kunatatizo??
Kweli kabisa ila inategemea kiwanja kiko wapi!Hapoo napata nyumba nne na plot zake
King njoo uione kwanz nyumbaFanya 80 mkuu tufanye biashara.
Kila la heri kiongoziKweli kabisa ila inategemea kiwanja kiko wapi!
Hiyo iko bahari beach ambako be ya Ardhi ya serikali ni 150,000/ @ sqm 1
150,000*1400= ?
+thamani ya nyumba=
Jumla......
Kama una calculator hapo naomba unisaidie.
Hiyo ni bei ya serkal na siyo ya mtu binafsi
Asante sana mkuu,Kila la heri kiongozi
Sipo huko DAR mkuu ila umesema ipo barabarani nyumba ya tatu,kuna FOGO wa Arusha anataka nyumba ukanda wa bahari huko Bahari Beach,King njoo uione kwanz nyumba
Oky sawa mkuu kama vipi tuwasiliane ili nimuonyeshe hiyo na kama vipi nimuonyeshe na nyinginezo achagueSipo huko DAR mkuu ila umesema ipo barabarani nyumba ya tatu,kuna FOGO wa Arusha anataka nyumba ukanda wa bahari huko Bahari Beach,
Poa nirushie PM.Oky sawa mkuu kama vipi tuwasiliane ili nimuonyeshe hiyo na kama vipi nimuonyeshe na nyinginezo achague
Nichk kwenye hiyo no hapoPoa nirushie PM.
ok nitakubeep inaishia na 400.Nichk kwenye hiyo no hapo