dovillenproperty
JF-Expert Member
- Nov 24, 2014
- 3,203
- 2,227
- Thread starter
- #21
Sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio ivyo mkuu maisha tonatofautiana sana
Kweli kabisa ila inategemea kiwanja kiko wapi!
Hiyo iko bahari beach ambako be ya Ardhi ya serikali ni 150,000/ @ sqm 1
150,000*1400= ?
+thamani ya nyumba=
Jumla......
Kama una calculator hapo naomba unisaidie.
Hiyo ni bei ya serkal na siyo ya mtu binafsi
Rudia tena hesabu zako,15000*1400=21,000,000.00 Hii ni bei ya kiwanja, hivyo 300,000,000-21,000,000=279,000,000 DUUH! BEI YA NYUMBA NI 279M....! SHIKAMOO
Mkuu kwa maoni yako haya hata kama ningeshusha bei wewe huwezi kununua me nakushauri endelea kutafuta hayo maeneo uliyoyataja, thamani ya maeneo hutofautiana sanaHiyo m 300.unapata nyumba 3 kali sana maeneo ya tabata.kinyerezi.tsegerea.egeta.bunju
Halafu zingine ni sifa.eti nakaa mbezi beach halfu kinyumba chenyewe cha hovyohovyo ina saidia nini sasa.sifa za kijinga tu.
Nakushauri shusha bei kama unatka kufanya biashara
Kweli kabisa na asante kumkumbushaRudia tena hesabu zako,
Hata kama hesabu ni Janga la Kitaifa lakini sio kwa kiwango hiki
Mbona picha zenyewe umezipiga kwa mbali sana mkuu?? Kama vile wewe ni mpita njia tuu?Nyumba ina vyumba 3 kimoja ni self
Ukubwa wa plot 1400sqm
Bei 300m
Nyumba ni ya tatu kutoka barabara ya lami kunduchi ununio
Kwa maongezi zaidi na kuja kuona wasiliana nami kwa
0756060183
View attachment 829785View attachment 829786
Sawa mkuu sema hili ni tangazo tu huwezi kujaza picha zaidi, maana kwa kufanya hivyo tangazo litakosa ubora ila kama utakuwa unahitaji zaidi picha inabidi unichk kwenye hiyo no ya cm nitakutumia whatspp,Mbona picha zenyewe umezipiga kwa mbali sana mkuu?? Kama vile wewe ni mpita njia tuu?
Ulitakiwa upige picha za karibu zaidi, na za kutosha nje na ndani if you really mean business!!
dovillenproperty
Sawa mkuu sema hili ni tangazo tu huwezi kujaza picha zaidi, maana kwa kufanya hivyo tangazo litakosa ubora ila kama utakuwa unahitaji zaidi picha inabidi unichk kwenye hiyo no ya cm nitakutumia whatspp.Asante
.AsanteSawa mkuu sema hili ni tangazo tu huwezi kujaza picha zaidi, maana kwa kufanya hivyo tangazo litakosa ubora ila kama utakuwa unahitaji zaidi picha inabidi unichk kwenye hiyo no ya cm nitakutumia whatspp,
Sawa mkuu, tunajifunza kutokana na makosa..siku nyingine tutafanya hivyoAcha kutengeneza matangazo kama ya virabu vya gongo, weka picha kamili ya nyumba, onesha mandhari tofauti ya nje na ndani. Clarify vzr other issues. Wateja huenda c wa hapa ila wakasaidia kusambaza ujumbe.
Kama ni biashara halali haihitaji kujificha kama digidigi aliyeona chui!!
Anaogopa hata kupiga pichaiyo picha mbona umepiga ki wizi wizi kunatatizo??
SidhaniAnaogopa hata kupiga picha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uwiiiRudia tena hesabu zako,
Hata kama hesabu ni Janga la Kitaifa lakini sio kwa kiwango hiki
Hakuna mashaka yoyoteHizi picha mbona zimepigwa kiwiziwizi? Kuna mashaka kwenye uuzaji?
Ahaaahaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Rudia tena hesabu zako,
Hata kama hesabu ni Janga la Kitaifa lakini sio kwa kiwango hiki