House4Sale Nyumba inauzwa Bahari Beach

House4Sale Nyumba inauzwa Bahari Beach

Basi nilipofungua huu uzi nikategemea nikutane na bonge la ghorofa! Hii bei si napata Youtong tatu?
 
Kurasini kiwanja 60m.
Gharama za kujenga nyumba ya maana classic 150m jumla 210m. Baki 90m unanunua kiwanja kikubwaaaaaaaaaaa chamazi near azam kwa 10m. Unajenga nyumba nzuriii 60m jumla 70 baki 20m. Unanunua kiwanja kidogo near road at chamazi.5m unajenga frem za biashara tano kwa 10m. Baki 5m nunua kiwanja kidogo ndani ndani kwa 2m chimba kisima cha maji kwa 2m uzia wananchi baki 1m. Kanywe biaaaaaaaaaaaaaa na kula bata mwezi mzima.
Hyo ndo bajeti ya 300m bro. Mwaka utakatika haujauza hyo plot labda utudanganye.
Sawa kila mtu na mipango yake maana bahari beach sio kulasini wala cjui wapi uko kwingine ulikotaja!

Mmoja anatembea na vtz au IST isiyozidi 10 na mwingine anatumia prado au vex 70m mpaka 200m

Huyo mwenye vtz atasema kuliko kununua gari moja ya 200 si niaheli ninunue vtz 20 kuliko kununua gari moja..

Umaskini huanzia kichwani na hili sio tatzo lako tu balia ni janga kubwa la Waafrika wengi
 
Basi nilipofungua huu uzi nikategemea nikutane na bonge la ghorofa! Hii bei si napata Youtong tatu?
Mkuu inategemea na eneo pia kwani maeneo haya hiyo ni bei ya plot kwahyo ni jambo la kawaida tu

Au kwa kuongezea tu au elimu ya kawaida isiyohitaji ada, unaweza kuuliza kwanza wizara ya Ardhi ujue thamani ya Aridhi kwa eneo husika, kingene pia ujaribu kuona na wengine pia wananunuaje maeneo hayo
 
Tatizo sasa hivi serikali yetu iko very unpredictable kwenye maamuzi. Unaweza kui-invest Dodoma na baada ya Jiwe kuondoka ukaambiwa tunarudi DSM miundo mbinu bado. Ila kuwa na kiwanja Dodoma is a good thing! Maana kwa kasi hii hata kama Serikali haitahamia huko moja kwa moja but at least things will change. So wenye uwezo na nia, Dodoma is the deal now.
 
Kwa maeneo hayo hata kama bei zimeshuka bado hi ofa ni ndogo ila ngoja tuangalie, lakn pia kama unaweza usogee mbele kidogo ununio mwanzoni nina 800sqm bei 55m

Na 700sqm bei 35m

Kunduchi beach 1800sqm bei 170ml
 
Hehhe kuna shida mahali sio bure, wanunuzi waende vzuri!
Hakunashida yoyote mkuu wala usigope, uuzwaji wa nyumba au plot yenye hati una hatua zake za kufuata kabla mnunuzi hajalipia, 1. Kuja kukagua nyumba pamoja na eneo linaloizunguuka

2 kukubariana bei ya kuuziana
3 kuhakiki nyaraka wizarani
4 kuhakiki kama anayekuuzia ndiye mwenye nyaraka za umiliki wa nyumba nk
A.kitambulisho/vitambulisho
B majirani
C.mjumbe/balozi
D.Serkal za mitaa/mwenyekiti

5 Kuandaa mkataba wa mauzioano kwa mwanasheria tena hasa hasa inashauriwa mwanasheria awe wa mnunuzi

Hizo ni hatua ambazo ni muhimu kuzifanya kwa mnunuzi yoyote yule...



Sasa ndg yangu hapo utapeli au kupoteza kutatokea wapi kama sio tu kutia mashaka yasiyo na maana?
 
Hamieni Dodoma.mtabaki mkisemi Mko karibu na bahari mtabaki nazo.na mtabaki mkidaiwa Madeni ya benk.walioko tanga na mtwara hawako karibu na bahari?milioni 300? Mabalozi wetu wanahamia Dodoma .mtabaki na upepo Wa bahari. Dar muda mfupi ujao itakuwa Mombasa na Dodoma utakuwa Nairobi. Someni ramani na wakati.mchana mwema
Ushauri mzuri
 
Hakunashida yoyote mkuu wala usigope, uuzwaji wa nyumba au plot yenye hati una hatua zake za kufuata kabla mnunuzi hajalipia, 1. Kuja kukagua nyumba pamoja na eneo linaloizunguuka

2 kukubariana bei ya kuuziana
3 kuhakiki nyaraka wizarani
4 kuhakiki kama anayekuuzia ndiye mwenye nyaraka za umiliki wa nyumba nk
A.kitambulisho/vitambulisho
B majirani
C.mjumbe/balozi
D.Serkal za mitaa/mwenyekiti

5 Kuandaa mkataba wa mauzioano kwa mwanasheria tena hasa hasa inashauriwa mwanasheria awe wa mnunuzi

Hizo ni hatua ambazo ni muhimu kuzifanya kwa mnunuzi yoyote yule...



Sasa ndg yangu hapo utapeli au kupoteza kutatokea wapi kama sio tu kutia mashaka yasiyo na maana?
Hapa nakumbuka nilitoa elimu kama slow slow na kipindi chake cha shule ya uongozi
 
Hapa nakumbuka nilitoa elimu kama slow slow na kipindi chake cha shule ya uongozi
Acha na mimi nikusaidie kupandisha tangazo lako, unapofanya marketing ya biashara yako sikiliza sana unaowatangazia wanahitaji nini... Maana wao wanahitaji huduma huku wewe ukihitaji pesa yao and by the way, mwenye pesa ndyo mwenye nguvu pia ujue dalali hauko peke yako competent

Wewe umeambiwa zaidi ya mara tatu na member tofauti tofauti juu ya ubovu wa picha zako kwenye hii nyumba lakini umeshupaza shingo na ukajibu kwa namna ulivyojiskia wewe ati you will do that next time...

Picha zimekaa kiwizi wizi kitu ambacho kinaleta mashaka ya awali kama kweli uko authorised kuuza hiyo nyumba, hizo ambazo unasema utatuna whatsap nina hakika hata hapa unaweza zituma, sijui umekwama wapi mkuu.
 
Acha na mimi nikusaidie kupandisha tangazo lako, unapofanya marketing ya biashara yako sikiliza sana unaowatangazia wanahitaji nini... Maana wao wanahitaji huduma huku wewe ukihitaji pesa yao and by the way, mwenye pesa ndyo mwenye nguvu pia ujue dalali hauko peke yako competent

Wewe umeambiwa zaidi ya mara tatu na member tofauti tofauti juu ya ubovu wa picha zako kwenye hii nyumba lakini umeshupaza shingo na ukajibu kwa namna ulivyojiskia wewe ati you will do that next time...

Picha zimekaa kiwizi wizi kitu ambacho kinaleta mashaka ya awali kama kweli uko authorised kuuza hiyo nyumba, hizo ambazo unasema utatuna whatsap nina hakika hata hapa unaweza zituma, sijui umekwama wapi mkuu.
Kweli kabisa mkuu na huu ushauri niliuzingatia kwenye matangazo mengine.hii tumeshaiuza mda tu ndio maana sikulejea tena kwenye uzi huu
 
Back
Top Bottom