Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaniminya pumbu wallah twin huyu bibi[emoji28]
Ni vile tu huwa namchokoza sana so kaamua kulipiza
Twin njoo inbobohahaha mama debora kibokoo
Dogo somaHahahaha
Twin njoo inbobo
Mama Debora katika ubora wako. Hukopeshi lolNasubiri hiyo pm ya bank statement.
Azima hata kwa mtu!
sawa nakuja
Habari dada. Amekuambiaje pm.
Madalali wa bongo hua mnavuta bangi alafu mnaanza kupost, nyumba ipi? Unauza mti?
Hivi madalali bhangi ya wapi mnatumiaa..????[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sema kiwanja hiyo nyumba mil 90 labda ukalogeee
Ingekuwa Kkoo sawaaHata kama ni kibanda tutaambiwa nyumba ya kuishi [emoji3]
Ingekuwa Kkoo sawaa
Hahahaaaaaaa.Hakuna nyumba ya million 90 apo, acheni bange