stephot
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 17,216
- 26,225
Bei imesimama kweli kweli...Hakuna nyumba ya million 90 apo, acheni bange
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bei imesimama kweli kweli...Hakuna nyumba ya million 90 apo, acheni bange
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Chukua mil 100.
Acha kutania watu. Nimekuja faster nikidhani nitaona nyumba kweli kumbe masihara. Ingia youtube utype dalalimwanamke uone nyumba za milioni 90. Ni nyumba kali sana na za kisasa na si masihara unayotuletea hapa. Hivi wewe unaijua miioni 90 kweli? Kwa ambaye fedha zake zinamuwasha atakupa mil 45 na penyewe ni kwa ajili ya kiwanja tu na si nyumba.Nyumba yenye vyumba 5 ikiwa kwenye hali nzuri.
Ina uwanja mbele na nyuma
Mita za mraba 1500
Inauzwa mil 90 maongezi yapo
Karibuni simu 0768412181
Mbezi Kimara
View attachment 1476259View attachment 1476260
Ntakutafuta👍Nimuhimu mkuu
Mimi nina kiwanja maeneo hayo ya mbezi square meter 1100 nauza million 30 lakini watu wameona kubwa wakati huyo square meter 1400 anauza mil 90 maana hapo hamna nyumba ni kiwanja ichoAcha kutania watu. Nimekuja faster nikidhani nitaona nyumba kweli kumbe masihara. Ingia youtube utype dalalimwanamke uone nyumba za milioni 90. Ni nyumba kali sana na za kisasa na si masihara unayotuletea hapa. Hivi wewe unaijua miioni 90 kweli? Kwa ambaye fedha zake zinamuwasha atakupa mil 45 na penyewe ni kwa ajili ya kiwanja tu na si nyumba.
Mimi nina kiwanja maeneo hayo ya mbezi square meter 1100 nauza million 30 lakini watu wameona kubwa wakati huyo square meter 1400 anauza mil 90 maana hapo hamna nyumba ni kiwanja icho
Thamani ya nyumba na kiwanja nadhaniHapo ni kiwanja kinauzwa sio nyumba
😁Hiyo nyumba ina hali nzuri mkuu, au unaota?