House4Sale Nyumba inauzwa mil90 ipo Mbezi ya Kimara jirani na Stand Kuu Mpya

Sasa mkuu, hao madada ilikuwaje ukawachukua bila idhini yao? Ungewaficha wasionekane
 
Hivi Kuna nyumba ya mil 90 hapo?
Acheni bangi za mchana.
 
madalali ndio wanawatiaga ujinga wenye nyumba. hapo kamdanganya kabisa mtu wa kutoa Mil 90 kwa hio nyumba atapatikna.
 
Hivi madalali bhangi ya wapi mnatumiaa..????[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sema kiwanja hiyo nyumba mil 90 labda ukalogeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…