House4Sale Nyumba inauzwa Milioni 26. Ipo Mbezi Mwisho, eneo la Msakuzi

Hiyo house imekaa Sana kabla haijapauliwa..au alipaua pagale then anataka kuuza
 
Haya asante kwa taarifa...uzeni tuu ahaa

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Nyumba yake kapaua siku nyingi,akahamishwa kikazi mkoa mwingine
Acha uongo basi, nyumba imekula mvua hadi tofali zinasema Yarabi na bado unataka kutudanganya?
 
Acha uongo basi, nyumba imekula mvua hadi tofali zinasema Yarabi na bado unataka kutudanganya?
Kwa kipi sasa nidanganye we si unaona haijapigwa plasta,au unataka zile za jenga uza unadanganywa na finishing ya nyumba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…