House4Sale Nyumba inauzwa msongola(Kitonga) bei Mil 10.

House4Sale Nyumba inauzwa msongola(Kitonga) bei Mil 10.

Kama hichwa cha thread kinavyojieleza,Kuna rmtu anauza plot yake ya ft 50/60 ambayo tayari ina mabanda ya uhani (vyumba vitatu) kwa Tsh Million 10.

Nyumba ipo eneo zuri na site haina mgogoro,wanauza hili wampeleke ndugu yao kwenye matibabu nje ya nchi.

Again hakuna udalali, Yoyote atakayehitaji kupaona tukutane pm.

Maelewano yapo pia(According to muuzaji)
We nae ni boya tu,,unatangazaje biashara bila kuonesha hyo nyumb???au ndo matapelii wenyewe nyiee ndomana we ni boyaa atii
 
Sio unashukur mkuuuu,,,unashukur kwa lip sas??iv kweli kwa akili ya kawaida tu unaadvataiz vip bidha bila mteja kuiona??au unadhani watu watakufkiriaje juu ya hilo?wengne watakutusi,,,watakubeza but mim nmekupa hilo ilo ili atlist uone mahal umekosea tena unasema unashkur???kwel hatar sana weka mzigo mezani mkuuu na location yake ati
 
Angalia post ya #20 hapo juu,

I said, Jioni naenda site ntapiga picha niunge na uzi huu,Uboya wangu unatoka wapi boss
 
Kumpeleka huyo mgonjwa nje ya nchi ni kupoteza hela tu. Kama siku zake zimeshaisha Duniani waambie waandae tu kaburi. Ingekuwa huko nje ya nchi kuna namna ya kumponya mtu, basi wazungu wasingekuwa wanakufa!
Naongea hivi coz kuna mama mmoja aliwahi kutumia milioni 14 kumuuguza mume wake na bado mume wake akafariki. Yule mama akawa anajilaumu na kusema angejua kuwa mume wake ataondoka asingepoteza pesa zote hizo, na hii ilikuwa ni miaka ya 1996 huko!
Duuh! watu kama wewe huwa wananisikitisha sana wakiwa wanauguza ndugu zao,unakuta ndugu ana mali ambazo pengine zingemponya,lakini watu kama wewe kila wakiambiwa uza kitu flani nipelekwe hospitali,mnakataa nakuanza kumdanganya kua hakuna wateja,mwisho wa siku anafariki na mnabaki na hivyo vitu vyake.Inasikitisha sana pale tunapotafuta vitu kwaajili yakutusaidia wakati wa shida,ila tukiwa tunaumwa wanajitokeza watu wengine wanatukatia tamaa na mwishowe wanakua wagumu kushirikiana nasisi ili kutuokoa katika shida nakuamua kuturudisha nyumbani ili tukasubiri kufa kwa maumivu makali na taratibu.Mungu nisaidie nife kifo ambacho hakitakua na mwingiliano wa mawazo kama yako,nitibiwe kadri ya nitakavyoweza nasikukatiwa tamaa.
 
Hapana mkuu! Kila nafsi itayaonja mauti. Kama siku zako za kukaa Duniani zimefika mwisho, kuna ubaya gani ukiondoka ukaenda kuungana na wahenga huko walipo? Hata mie siku zangu zikifika sitaki mtu asumbuke, mniache niende zangu kwa amani ya Bwana. Msioelewa maana ya kifo ndio mnatapa tapa. Kifo ni kuhamishwa kutoka maisha haya ya muda kwenda kwenye maisha ya kudumu, either Paradiso kama ulitenda mema, au Jehanam kama ulitenda mabaya. Sasa waovu ndio wanaogopa kufa, ila ukiwa mtenda mema, kufa ni faida... (Soma biblia Kuishi ni Kristo na kufa ni faida)....
Kila nafsi itaonja mauti sawa. Huo ni mtihani pekee ambao Mungu ndiye mwenye uamuzi wa mwisho.

Mwanadamu kusema maneno kama hayo uliyoyaandika ni sawa kujipa mamlaka ya Mungu.

Shetani pekee ndiye husema kwa ugonjwa fulani hautapona lakini kwa mapenzi ya Mungu watu wanapona.

Biblia unaisoma lakini huielewi.
 
.Mungu nisaidie nife kifo ambacho hakitakua na mwingiliano wa mawazo kama yako,nitibiwe kadri ya nitakavyoweza nasikukatiwa tamaa.
Unang'anga'ania kuishi Duniani milele unamiliki nini hapa Duniani? Inabidi wewe uondoke ili wajukuu washike nafasi yako. Waliokuwepo wasingekufa, sisi tusingelizaliwa. Dunia ingekuwa imejaa na kusingekuwa na nafasi. Embu piga picha kama ndugu zako wa tumbo moja wangeng'ang'ania kukaa tumboni kwa mama yako baada ya miezi tisa kama wewe ungepata nafasi ya kukaa humo? Ilipofika miezi tisa, walitoka tumboni ndio maana na wewe ukapata nafasi ya kukaa humo tumboni. Ndivyo na Dunia ilivyo, Dunia ni kama mama mwenye mimba, asipozaa, wale wengine hawatapata nafasi... So ni vizuri sisi tuliokwisha pata nafasi ya kuishi kwa miaka kadhaa tukaondoka na kuwapisha wengine. Upo hapo?
 
Angalia post ya #20 hapo juu,

I said, Jioni naenda site ntapiga picha niunge na uzi huu,Uboya wangu unatoka wapi boss
Mkuu nimekusoma...

Ila jitahid picha bana biashara bila picha sijawahi ona!

Jitahidi
 
Kumpeleka huyo mgonjwa nje ya nchi ni kupoteza hela tu. Kama siku zake zimeshaisha Duniani waambie waandae tu kaburi. Ingekuwa huko nje ya nchi kuna namna ya kumponya mtu, basi wazungu wasingekuwa wanakufa!
Naongea hivi coz kuna mama mmoja aliwahi kutumia milioni 14 kumuuguza mume wake na bado mume wake akafariki. Yule mama akawa anajilaumu na kusema angejua kuwa mume wake ataondoka asingepoteza pesa zote hizo, na hii ilikuwa ni miaka ya 1996 huko!
[emoji107]
 
Duuh! watu kama wewe huwa wananisikitisha sana wakiwa wanauguza ndugu zao,unakuta ndugu ana mali ambazo pengine zingemponya,lakini watu kama wewe kila wakiambiwa uza kitu flani nipelekwe hospitali,mnakataa nakuanza kumdanganya kua hakuna wateja,mwisho wa siku anafariki na mnabaki na hivyo vitu vyake.Inasikitisha sana pale tunapotafuta vitu kwaajili yakutusaidia wakati wa shida,ila tukiwa tunaumwa wanajitokeza watu wengine wanatukatia tamaa na mwishowe wanakua wagumu kushirikiana nasisi ili kutuokoa katika shida nakuamua kuturudisha nyumbani ili tukasubiri kufa kwa maumivu makali na taratibu.Mungu nisaidie nife kifo ambacho hakitakua na mwingiliano wa mawazo kama yako,nitibiwe kadri ya nitakavyoweza nasikukatiwa tamaa.
[emoji106]
 
Kila nafsi itaonja mauti sawa. Huo ni mtihani pekee ambao Mungu ndiye mwenye uamuzi wa mwisho.

Mwanadamu kusema maneno kama hayo uliyoyaandika ni sawa kujipa mamlaka ya Mungu.

Shetani pekee ndiye husema kwa ugonjwa fulani hautapona lakini kwa mapenzi ya Mungu watu wanapona.

Biblia unaisoma lakini huielewi.
[emoji106]
 
Kumpeleka huyo mgonjwa nje ya nchi ni kupoteza hela tu. Kama siku zake zimeshaisha Duniani waambie waandae tu kaburi. Ingekuwa huko nje ya nchi kuna namna ya kumponya mtu, basi wazungu wasingekuwa wanakufa!
Naongea hivi coz kuna mama mmoja aliwahi kutumia milioni 14 kumuuguza mume wake na bado mume wake akafariki. Yule mama akawa anajilaumu na kusema angejua kuwa mume wake ataondoka asingepoteza pesa zote hizo, na hii ilikuwa ni miaka ya 1996 huko!
Inapobidi kuokoa uhai wa mtu gharama yoyote itumike tu, kwani hakuna mbadala, ila hicho kiwanja au banda litapatikana lingine tu, tofautisha thamani ya binaadam na bidhaa ndugu.
 
Mkuu muuzaji(Jirani yangu) Nahc hayupo serious nlitaka kumsaidia tu kwa issue yake ya mgonjwa,,,,Hataki nyumba yake ipigwe picha eti ikionekana mtandaoni wataonekana wamefulia,,,Nimemuacha boss,Anataka mteja wakaongee akiafiki anunue hasipoafiki basi.

Na kashuka mpaka 9 Million
 
Dah..... Labda nimsaidie[emoji13] [emoji13]
8488d77d917799dffc058554afc01006.jpg
 
Back
Top Bottom