House4Sale Nyumba inauzwa msongola(Kitonga) bei Mil 10.

House4Sale Nyumba inauzwa msongola(Kitonga) bei Mil 10.

Kumpeleka huyo mgonjwa nje ya nchi ni kupoteza hela tu. Kama siku zake zimeshaisha Duniani waambie waandae tu kaburi. Ingekuwa huko nje ya nchi kuna namna ya kumponya mtu, basi wazungu wasingekuwa wanakufa!
Naongea hivi coz kuna mama mmoja aliwahi kutumia milioni 14 kumuuguza mume wake na bado mume wake akafariki. Yule mama akawa anajilaumu na kusema angejua kuwa mume wake ataondoka asingepoteza pesa zote hizo, na hii ilikuwa ni miaka ya 1996 huko!

Most useless post ever seen in JF.
 
Back
Top Bottom