House4Sale nyumba inauzwa tabata magengeni

House4Sale nyumba inauzwa tabata magengeni

Inakuwaje nyumba nzuri namna hii haiuziki kwa bei chee hivyo? Au wanunuaji wakifika hapo kuna kitu wanaambiwa na majirani?
 
hakuna jambo lolote la tofauti kwenye hii nyumba..biashara ya nyumba sio kama magari mkuu kuwa utatangaza leo uuze kesho..

ni kawaida kabisa kuwa hivi..ila nyumba iko sawa haina shida yeyote
Inakuwaje nyumba nzuri namna hii haiuziki kwa bei chee hivyo? Au wanunuaji wakifika hapo kuna kitu wanaambiwa na majirani?
 
hakuna jambo lolote la tofauti kwenye hii nyumba..biashara ya nyumba sio kama magari mkuu kuwa utatangaza leo uuze kesho..

ni kawaida kabisa kuwa hivi..ila nyumba iko sawa haina shida yeyote

Sawa mzee baba. Kila la kheri.
 
Duh...sasa nimeamini kweli vyuma vimekaza...80m...bonge la jumba...na mafrem...tena Tabata.
 
Back
Top Bottom