Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Tena ananifanya ana shida ni balaa Kumbe alijenga kwa kuzuga. Tena hii eti bosi alikuwa mhindi tena hao Ndio matapeli waliporwaga house zao enzi hizo hawana hamu ya kujenga Tanzania tena milelelWapo wanaolaza nondo moja tu..ukijitolea kununua nyumba jipange kwa yote