House4Sale Nyumba inauzwa Tanga Mjini

Theo Simba

New Member
Joined
Sep 13, 2015
Posts
3
Reaction score
5
Nyumba inauzwa Tanga mjini, Kange
3 Masters Bedrooms na moja ipo ghorofani in sitting room.
3 Normal bedrooms.
  • Car garage (parking)
  • public toilet
  • kitchen
Siuting room & Dining room
Mabanda 7 inje ( ya tofali kama vyumba)
Frame ya Duka
Gazebble
Imezungushiwa ukuta na Gate
Eneo size ni 2230 sqm
Bei ni Tanzania Shilling 120,000,000

Mawasiliano:
0769781915
geofreymuhero@gmail.com

 
Asante, Kwa mawasiliano zaidi ni +255 769 781 915.
Kwa wageni wa Tanga huko kange mpaka mjini kati Tanga kuna umbali gani, eneo lina usafiri wa uhakika, umbali wake mpaka baharini, aina ya wakazi wa eneo husika, upatikanaji wa huduma muhimu wa kijamii ukoje??
 
Kange ndio ilipo Stendi mpya ya Tanga. Umbali wa kange baharini ni 7 kilometers. Wakazi wengi wa kange ni wageni wa Tanga kutoka mikoa mbali mbali, maana ni mji mpya uliochanganyika umezungukwa na viwanda na shughuli mbali mbali za kijamii kama vyuo na kambi ya jeshi.
 
Viwanja Bei Gani huko?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…