House4Sale Nyumba inauzwa Tanga Mjini

House4Sale Nyumba inauzwa Tanga Mjini

maurice99

Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
43
Reaction score
29
Nyumba ipo Kange Mkurumuzi
*Rooms 3 (Viwili master)
*Sebule
*Dinning
*public toilet
*Umeme
*Maji
Sqm 603
Price Milioni 39 (mazungumzo yapo)
Call 0679991114 / whatsapp 0763316426
20240703_063439.jpg
20240703_063413.jpg
20240703_063527.jpg
20240703_063527.jpg
20240703_063614.jpg
20240703_063628.jpg
20240703_063741.jpg
20240703_063806.jpg
20240702_183638.jpg
20240702_183622.jpg
 

Attachments

  • 20240702_183656.jpg
    20240702_183656.jpg
    3.1 MB · Views: 10
Hakuna mshtuko/tetemeko wakati wa kulipua miamba ya mawe?
Vipi kuhusu vumbi la viwandani halileti shida?
 
Hizi nyumba za Kiswahili zikishawekwa viraka vya sakafu zinakuwa na tabu sana.
 
eneo lina historia kua na mkondo wa maji kipindi cha mvua ndugu sema ukweli tuh
 
eneo lina historia kua na mkondo wa maji kipindi cha mvua ndugu sema ukweli tuh
hahaha...imenibidi nicheke kwanza,ndugu mchangiaji kama hujafika eneo husika basi usicomment utaharibu biashara za watu kwa jambo usilofahamu fika kwanza lafu ndo useme
 
Back
Top Bottom