"Viraka vya sakafu"; sina hakika kama umeelewa maana yake.manunuzi ya kitu chochote ambacho sio kipya lazima yawe na marekebisho ili uweke sawa na uhitaji wako
hahaha...imenibidi nicheke kwanza,ndugu mchangiaji kama hujafika eneo husika basi usicomment utaharibu biashara za watu kwa jambo usilofahamu fika kwanza lafu ndo usemeeneo lina historia kua na mkondo wa maji kipindi cha mvua ndugu sema ukweli tuh