Andrometer
Member
- Feb 26, 2019
- 81
- 67
Hizi dharau.Mkuu ukipata mtu anakupatia hata milioni 9 chukua na ukimbie usiangalie nyuma
Kwa nini unasema hivyo mkuu??Mkuu ukipata mtu anakupatia hata milioni 9 chukua na ukimbie usiangalie nyuma
Mkuu ukipata mtu anakupatia hata milioni 9 chukua na ukimbie usiangalie nyuma
Hizi dharau.
Mtu analeta utoto usio na sababu hata.[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Kabisa.Najua hii nyumba, ya kupiga Rangi tu na Kurekebisha baadhi ya maeneo
Reasonable price kabisa.Kwa 28m sio mbaya- iko vizuri .
Hajui bei ya tofali hata 1Mtu analeta utoto usio na sababu hata.
We demu ovyo sana[emoji3][emoji3]Mkuu ukipata mtu anakupatia hata milioni 9 chukua na ukimbie usiangalie nyuma
Pamoja.Ahsante kwa taarifa...
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] asiangalie nyumaMkuu ukipata mtu anakupatia hata milioni 9 chukua na ukimbie usiangalie nyuma
Nicheki kwenye Hiyo namba tuone kama tunaweza fika mahala.kula 22