House4Sale Nyumba inauzwa Tsh. Mil. 28 Tabata Migombani

House4Sale Nyumba inauzwa Tsh. Mil. 28 Tabata Migombani

Mkuu ukipata mtu anakupatia hata milioni 9 chukua na ukimbie usiangalie nyuma
Kuna Nini hapo??, yaonyesha wewe ni tabibu mbobezi, je humo ndani Kuna paka weusi na wekundu au popo bawa watoa bikra za jinsia zote nyakati za usiku.
 
Kuna Nini hapo??, yaonyesha wewe ni tabibu mbobezi, je humo ndani Kuna paka weusi na wekundu au popo bawa watoa bikra za jinsia zote nyakati za usiku.
Hajui lolote ni kujitia ujuwaji tu! Nyumba ipo Tabata, inawapangaji vyumba vyote haina shida yoyote arafu yeye analeta utani wa kitoto
 
Hahaha, anaachwa sebureni kuangali tamthilia Azam na dada yake anaenda chumbani kumuhudumia shemeji yake
Sasa kwani shem kumgegeda dada yake shida ipo wapi? Sii ameolewa kwa sababu ya kusasambuliwa mbususu
 
Kuna watu wanakuja DM na kuongea as if mimi ni dalali, naomba niweke wazi hapa, mimi nauza hiyo nyumba tu. Siyo dalali na sina mali nyingine yyte ninayo uza humu ama pahala pengine. Asanteni.
 
Back
Top Bottom