House4Sale Nyumba inauzwa

House4Sale Nyumba inauzwa

musa raphael

Member
Joined
Feb 20, 2014
Posts
18
Reaction score
11
Inauzwa milioni 12 pungufu unaongea ipo zinga ukihitaji nicheki 0718127413

IMG_20230325_113009.jpg
IMG_20230325_111956.jpg
IMG_20230325_113035.jpg
 
Weka taarifa kamili! Hiyo "nyumba" inapatikana Mkoa gani? Weka na ukubwa wa kiwanja! Iwapo kimepimwa, au la!

Halafu utambue fika! Hakuna nyumba ya milioni 12 hapo.
Anasema kwa confidence kabisa "Nyumba ipo zinga" zinga ndio wapi sasa?

Anahisi kila mtu ni dalali kwamba anajua kona zote za huu mji?!
 
Ile mada ya "Uandishi wa Matangazo" kwenye somo la Kiswahili kidato cha 3 ilikupata upo chimbo na wana. Halafu inakuaje mtu anachanganya matumizi ya L na R mpaka kwenye uandishi?, eti "balabalani". You cant be serious joh!.
 
ENEO NA BOMA LINAUZWA
KIBAHA KWA MFIPA JIRANI NA SEC.YA SIMBANI .
ENEO LINA UKUBWA WA NUSU HEKA. KUNA BOMA LA NYUMBA YA VYUMBA 3 VYOTE MASTER. SEBLE JIKO NA DINING. NIMEEZEKA VYUMBA 2. NA VYOO VYAKE TAYARI VINATUMIKA LINA TANK YA CHINI YA KUVUNIA MAJI LITA ELFU 3000.

UMEME NGUZO MBILI
MAJI NI MITA 500

km.1 kutoka main road

NATAKA ML. 22

Mazungumzo yapo

0685223804
 
ENEO NA BOMA LINAUZWA
KIBAHA KWA MFIPA JIRANI NA SEC.YA SIMBANI .
ENEO LINA UKUBWA WA NUSU HEKA. KUNA BOMA LA NYUMBA YA VYUMBA 3 VYOTE MASTER. SEBLE JIKO NA DINING. NIMEEZEKA VYUMBA 2. NA VYOO VYAKE TAYARI VINATUMIKA LINA TANK YA CHINI YA KUVUNIA MAJI LITA ELFU 3000.

UMEME NGUZO MBILI
MAJI NI MITA 500

km.1 kutoka main road

NATAKA ML. 22

Mazungumzo yapo

0685223804
NAOMBA PICHA
 
We jamaa umeandika Tangazo lako huku unakimbizwa? Uandishi mbovu huu[emoji848]
 
Hii nyumba ipo zinga ipi?
Kwa hawazi?
Kwa mtoro?
Kwa hospital?


Jibu?
 
Back
Top Bottom