musa raphael
Member
- Feb 20, 2014
- 18
- 11
Inauzwa milioni 12 pungufu unaongea ipo zinga ukihitaji nicheki 0718127413
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka taarifa kamili! Hiyo "nyumba" inapatikana Mkoa gani? Weka na ukubwa wa kiwanja! Iwapo kimepimwa, au la!Inauzwa milioni 12 pungufu unaongea ipo zinga ukihitaji nicheki 0718127413
View attachment 2567417View attachment 2567418View attachment 2567419
Mm si Dalali ni muhusikaMadalali bhana....unauza kitu Kwa kusikia maneno ya vijiweni......
Huduma zote zipo na hiyo nyumba Ina umeme na maji umbali kutoka balabalan ni mita Mia 150Tangazo haliandikwi hivo boss, vyumba vingapi ? Kiwanja ukubwa gani ? Huduma muhimu umbali gani ?
Unahisi kila MTU anajua zinga ni mkoa gani?Huduma zote zipo na hiyo nyumba Ina umeme na maji umbali kutoka balabalan ni mita Mia 150
Anasema kwa confidence kabisa "Nyumba ipo zinga" zinga ndio wapi sasa?Weka taarifa kamili! Hiyo "nyumba" inapatikana Mkoa gani? Weka na ukubwa wa kiwanja! Iwapo kimepimwa, au la!
Halafu utambue fika! Hakuna nyumba ya milioni 12 hapo.
Muhusika unatoaje taarifa finyu na kizembe namna hii, hata mtoto wa darasa la nne asingeandika tangazo namna hii kwakweli umenikwaza.Mm si Dalali ni muhusika
Wewe haujielewi hata kidogo, futa tu huu uzi maana hakuna unachofanya hapa. Unapoteza muda tu.Huduma zote zipo na hiyo nyumba Ina umeme na maji umbali kutoka balabalan ni mita Mia 150
bagamoyoUnahisi kila MTU anajua zinga ni mkoa gani?
NAOMBA PICHAENEO NA BOMA LINAUZWA
KIBAHA KWA MFIPA JIRANI NA SEC.YA SIMBANI .
ENEO LINA UKUBWA WA NUSU HEKA. KUNA BOMA LA NYUMBA YA VYUMBA 3 VYOTE MASTER. SEBLE JIKO NA DINING. NIMEEZEKA VYUMBA 2. NA VYOO VYAKE TAYARI VINATUMIKA LINA TANK YA CHINI YA KUVUNIA MAJI LITA ELFU 3000.
UMEME NGUZO MBILI
MAJI NI MITA 500
km.1 kutoka main road
NATAKA ML. 22
Mazungumzo yapo
0685223804