Nyumba ipi naweza kuikamilisha kwa 7M nikahamia kati ya hizi?

Nyumba ipi naweza kuikamilisha kwa 7M nikahamia kati ya hizi?

yousaw

Senior Member
Joined
Apr 21, 2014
Posts
160
Reaction score
128
Habari wakuu?

Nimerudi tene kijana wenu niliechoshwa na sarakasi za wenye nyumba na wapangaji wenzangu,
By the way naomba kujuzwa kati ya hizo RAMANI 2 nilizo'attach hapa ni ipi naweza kuikamilisha kwa 7M nikahamia, ama siziwezi zote?

Thanks 🙏

FB_IMG_1673504351826.jpg
FB_IMG_1673514672128.jpg
 
Kuna ujenzi wa sina nyingi kutokana na budget yako

1. Kuna ambae baada ya kuchimba msingi atamwaga zege na kuweka kitako cha nondo 8mm kabla ya kuanza kupandisha tofali.

Atanunua tofali ngumu zilizopigwa na mchanga + kokoto half inch na cement 42.5.

Akitoka huko chini atakuja kuweka level ya msingi kwa kutumia mchanga, atapanga mawe ataweka DPC kisha BRC kabla ya jamvi.

Atamwaga jambi la 25C.

2. Kuna ambae baada ya kuchimba msingi atapanga tofali na kuanza kuinua msingi, hainui msingi kukwepa gharama za kujaza,

Atapanga mawe madogo madogo kama kokoto atamimina jamvi la c15. Tofali atanunua za kawaida za shilingi 1000


Misingi yote hii miwili ukiangalia utaona ni sawa lakini namba 1 gharama yake ni kubwa sana kuzidi namba 2.
 
Kuna ujenzi wa sina nyingi kutokana na budget yako

1. Kuna ambae baada ya kuchimba msingi atamwaga zege na kuweka kitako cha nondo 8mm kabla ya kuanza kupandisha tofali.
Atanunua tofali ngumu zilizopigwa na mchanga + kokoto half inch na cement 42.5.
Akitoka huko chini atakuja kuweka level ya msingi kwa kutumia mchanga, atapanga mawe ataweka DPC kisha BRC kabla ya jamvi.
Atamwaga jambi la 25C.

2. Kuna ambae baada ya kuchimba msingi atapanga tofali na kuanza kuinua msingi, hainui msingi kukwepa gharama za kujaza,
Atapanga mawe madogo madogo kama kokoto atamimina jamvi la c15. Tofali atanunua za kawaida za shilingi 1000


Misingi yote hii miwili ukiangalia utaona ni sawa lakini namba 1 gharama yake ni kubwa sana kuzidi namba 2.
Thanks mkuu, kwa kufuata nadhalia no 2, kwa uwezo huo wangu naweza inua kibanda Cha namna gan?
 
Habari wakuu?
Nimerudi tene kijana wenu niliechoshwa na sarakasi za wenyew nyumba na wapangaji wenzangu,
By the way naomba kujuzwa kati ya hizo RAMANI 2 nilizo'attach apa ni ipi naweza kuikamilisha kwa 7M nikahamia, ama siziwezi zote???
Thanks 🙏View attachment 2489657View attachment 2489661
Kwa hiyo bajeti na hilo lengo la kuhamia nakushauri ujenge ile ramani ya kwanza ila usijenge yote, ikate nusu kama inavyoonekeana kwenye picha niliyoambatanisha alafu unaacha matoleo utaendeleza kulingana na upatikanaji wa pesa kisha utamalizia na nyumba itakamilika
 

Attachments

  • 20230121_094318.jpg
    20230121_094318.jpg
    21.1 KB · Views: 58
Kuna ujenzi wa sina nyingi kutokana na budget yako

1. Kuna ambae baada ya kuchimba msingi atamwaga zege na kuweka kitako cha nondo 8mm kabla ya kuanza kupandisha tofali.
Atanunua tofali ngumu zilizopigwa na mchanga + kokoto half inch na cement 42.5.
Akitoka huko chini atakuja kuweka level ya msingi kwa kutumia mchanga, atapanga mawe ataweka DPC kisha BRC kabla ya jamvi.
Atamwaga jambi la 25C.

2. Kuna ambae baada ya kuchimba msingi atapanga tofali na kuanza kuinua msingi, hainui msingi kukwepa gharama za kujaza,
Atapanga mawe madogo madogo kama kokoto atamimina jamvi la c15. Tofali atanunua za kawaida za shilingi 1000


Misingi yote hii miwili ukiangalia utaona ni sawa lakini namba 1 gharama yake ni kubwa sana kuzidi namba 2.
👍👍👍
 
Back
Top Bottom