Holly Star
JF-Expert Member
- Aug 25, 2018
- 4,327
- 8,142
Umeme pia tafta hela ingine,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyumba ya kwanza hujengwa kwa hatua, mil saba inaweza kukukufanya uhamie kwenye gofu , then utaendeleza ukiwa uko ndaniHabari wakuu?
Nimerudi tene kijana wenu niliechoshwa na sarakasi za wenyew nyumba na wapangaji wenzangu,
By the way naomba kujuzwa kati ya hizo RAMANI 2 nilizo'attach apa ni ipi naweza kuikamilisha kwa 7M nikahamia, ama siziwezi zote???
Thanks 🙏View attachment 2489657View attachment 2489661
Shukran sana mkuuKwa hiyo bajeti na hilo lengo la kuhamia nakushauri ujenge ile ramani ya kwanza ila usijenge yote, ikate nusu kama inavyoonekeana kwenye picha niliyoambatanisha alafu unaacha matoleo utaendeleza kulingana na upatikanaji wa pesa kisha utamalizia na nyumba itakamilika
Shukran mkuu, me lengo langu nipate jengo nipige plasta, niweke floor ya kawaida tu, niweke grill, Umeme na ikiwezekana nifunge gypsum board basi, je NITAWEZA???Nyumba ya kwanza hujengwa kwa hatua, mil saba inaweza kukukufanya uhamie kwenye gofu , then utaendeleza ukiwa uko ndani
Kusema mil 7 ukamilishe kila kitu kwa ramani ulizotoa hapo ni uongo,
Dirisha tu la alluminium linakamilika kwa 300,000 hapo naona unayo matatu upande mmoja
Mkuu hamalizi kwa hiyo amount ,,ushauri murua Ni ule uliopo hapo juuYa juu mkuu ila finishing yote hautamaliza but milango tumia mbao ya msira, mabati ya rangi sawa, alminium na rangi vitasubiri vingine utamaliza
Huu ndio ushauri murua ukishupaza shinga utajutiaKwa hiyo bajeti na hilo lengo la kuhamia nakushauri ujenge ile ramani ya kwanza ila usijenge yote, ikate nusu kama inavyoonekeana kwenye picha niliyoambatanisha alafu unaacha matoleo utaendeleza kulingana na upatikanaji wa pesa kisha utamalizia na nyumba itakamilika
Kama una usafiri wako wa kubebea vitu kupeleka saiti inawezekana,,7m itakamilisha jengo, no aluminum no rangi
Haiwezekani kabisa.Habari wakuu?
Nimerudi tene kijana wenu niliechoshwa na sarakasi za wenyew nyumba na wapangaji wenzangu,
By the way naomba kujuzwa kati ya hizo RAMANI 2 nilizo'attach apa ni ipi naweza kuikamilisha kwa 7M nikahamia, ama siziwezi zote???
Thanks 🙏View attachment 2489657View attachment 2489661
hiyo pesa haiwezi tosha makorokoro yote hayo!Shukran mkuu, me lengo langu nipate jengo nipige plasta, niweke floor ya kawaida tu, niweke grill, Umeme na ikiwezekana nifunge gypsum board basi, je NITAWEZA???
Una milioni saba na bado unafikiria ramani zenye choo na jiko??Habari wakuu?
Nimerudi tene kijana wenu niliechoshwa na sarakasi za wenyew nyumba na wapangaji wenzangu,
By the way naomba kujuzwa kati ya hizo RAMANI 2 nilizo'attach apa ni ipi naweza kuikamilisha kwa 7M nikahamia, ama siziwezi zote???
Thanks 🙏View attachment 2489657View attachment 2489661
Ramani ya bure hamna?7m Jenga chumba na sebule, ndio utaweza hamia