yousaw
Senior Member
- Apr 21, 2014
- 160
- 128
- Thread starter
- #61
Acha Bangi
Kwaio mkuu unataka kuniambia m7 itakidhi vitu muhim nihamieHiyo ramani uliyowekwa sasa sikushauri ni ndogo sana.
Halafu kama hela zako za mawazo usijenge nyumba ambayo itasababisha bati nyingi kukatwa hovyo hovyo.
Zile ramani za mwanzo zinafaa tu kujenga nyumba ya kwanza ya maisha yako na ni standard tu kwa mtu ambaye anaanza maisha.
Mil 7 ni nyingi kama utaipangilia vizuri.