Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa gharama za wapi ndugu, wakati maeneo karibu na mchanga roli la mchanga kubwa wanaita mende ukiwapa lak4, utapata mchanga wa kujenga hiyo nyumba ya 2 na unabaki, utafyatua matofali mwenyewe. Hapa itategemea kiwanja kipo wapi. Mleta mada usipoeleza site wapi, kila mtu atatoa ushauri wa pale anapoishi na utakuchanganyaKwa hiyo bajeti na hilo lengo la kuhamia nakushauri ujenge ile ramani ya kwanza ila usijenge yote, ikate nusu kama inavyoonekeana kwenye picha niliyoambatanisha alafu unaacha matoleo utaendeleza kulingana na upatikanaji wa pesa kisha utamalizia na nyumba itakamilika
Kama upo mkoa wa mbali na hutegemei kutembelewa na ndugu zaidi ya wewe na wattot wako tu poaAngalieni na hii viongozi, lengo Sio nyumba kama hii ila Raman hiiView attachment 2489884
Daah ebhana nimekuelewa sana mkuu shukran
Kwamba Kibarua ajilipe mwenyewe, daaahShida no mchoro wako ndio unatisha.
USHAURI:Jenga kwa umechopata
-Jenga Bila kuweka mkanda wa chini
Weka ratio kali tu
- Jenga Chumba na ukumbi tuuu
Laza bati Mfumo wa banda
- Tumia bari nyeupe
- Kibarua kaa mwenyewe.
Wiki Moja tu upo kwako,usitishwe
7m kwa banda tu inatosha, Finishing mbele ya safari.
Vikiwa 13 ataishia bar[emoji38]7m labda vyumba viwli vitakuwa vikali sana vya kisasa tena self
Vikiwa vitatu vitakuwa vya kawaida
Vikiwa vinne Hela ya Rangi utakosa[emoji1]
Vikiwa sita Hela ya Rangi, tiles, bati, grill utaikosa
Vikiwa Saba utaishia kwenye Renta
Vikiwa nane utaishia kozi 4.
Vikiwa Tisa utaishia msingi.
Vikiwa kumi utaishia kwenye tofali na mchanga tu site
Vikiwa 11 vitaishia kwenye karatasi
Vikiwa 12 vitaishia kichwani kwako.
Yote haya kwa 7m.tena ukiwa Dar[emoji1]
Akafanye kazi mwenyewe.Kwamba Kibarua ajilipe mwenyewe, daaah