House4Sale Nyumba kaliii inauzwa Tsh98milion tu

House4Sale Nyumba kaliii inauzwa Tsh98milion tu

umbali kama dakika 5 kutoka kweny lami [emoji15][emoji15]

Umbali unapimwa kwa vipimo vya urefu kama cm, km, inch, yard; halafu muda unapimwa kwa vipimo vya muda kama siku, mwezi, saa, dakika, sekunde. Sasa wewe hapo unatuambia nini?
 
Ina hati.. vyumba vitatu, kimoja master,, sebule kubwa, dining, jiko, public toilet, na uwanja mkubwa nje kama inavyoonekana..
Ipo karibu tu na barabara ya lami Kama dakika tano.
Bei 98milion
Umeipenda Piga simu njoo ikague.
Call 0689315582
Hichi kibanda kinafaa sana kufugia mifugo
 
Umbali unapimwa kwa vipimo vya urefu kama cm, km, inch, yard; halafu muda unapimwa kwa vipimo vya muda kama siku, mwezi, saa, dakika, sekunde. Sasa wewe hapo unatuambia nini?
Huyo ni dalali kaleta post msamehe tu
 
Ila eneo zuri unabomoa hilo banda la kuku, unashusha kitu na box !
 
Back
Top Bottom