Nyumba kama hii inaweza kuuzwa bei gani?

Nyumba kama hii inaweza kuuzwa bei gani?

kimweri demba

New Member
Joined
Jul 25, 2016
Posts
4
Reaction score
8
Nahitaji kujua tathmini ya kuuza nyumba hii. Ina vyumba 2 na sebule pamoja na jiko, master bedroom ni self, chini Kuna tiles na juu Kuna gypsum board pia imepigwa rangi za kisasa ndani na nje na dirisha zote ni aluminum.

Msaada tafadhali.

IMG_20200727_142727.jpg
 
Nahitaji kujua tathmini ya kuuza nyumba hii. Ina vyumba 2 na sebule pamoja na jiko, master bedroom ni self, chini Kuna tiles na juu Kuna gypsum board pia imepigwa rangi za kisasa ndani na nje na dirisha zote ni aluminum.

Msaada tafadhali.

View attachment 1981494
Milioni 2 tu na inategemea ipo sehemu gani pia
 
Back
Top Bottom