Kobello
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 8,967
- 8,547
Mmanga huyo bruh.70,000,000 million nyumba ya vyumba viwili? Kweli Waluguru na Wapogoro washamba sana yani 😂!!!
Mluguru hapo milioni 70 ana magenge mangapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmanga huyo bruh.70,000,000 million nyumba ya vyumba viwili? Kweli Waluguru na Wapogoro washamba sana yani 😂!!!
Hahahahah hio 70m ninaangusha kidude cha maana yani😂 rum 3 full optionsMmanga huyo bruh.
Mluguru hapo milioni 70 ana magenge mangapi?
Sky una dharau sana, yaani wewe unaangalia parking ??1,Ukubwa wa kiwanja ukoje? Inaelekea parking ni ndogo sana. Bei itategemea na ukubwa wa kiwanja.
Inategemea na ukubwa wa kiwanja hali ya kiwanja na miundombinu pamoja na location.Nahitaji kujua tathmini ya kuuza nyumba hii. Ina vyumba 2 na sebule pamoja na jiko, master bedroom ni self, chini Kuna tiles na juu Kuna gypsum board pia imepigwa rangi za kisasa ndani na nje na dirisha zote ni aluminum.
Msaada tafadhali.
View attachment 1981494
[emoji23][emoji23][emoji23]Kama parking CCM akija wa 20M usimuache
Mungu hachagui wa kumpa, baada ya kununua nyumba anaweza kubarikiwa ISTSky una dharau sana, yaani wewe unaangalia parking ??1,
kama mnunuz hana gari ?
Au flat ya kibachelor 7mx7m.Hahahahah hio 70m ninaangusha kidude cha maana yani😂 rum 3 full options
Eeh yani flat ya kiaina unalala hewani no jotoAu flat ya kibachelor 7mx7m.
Chini sitting room dining kitchen. Juu master kubwa 6mx6m.
Haa TehMilioni 2 tu na inategemea ipo sehemu gani pia
Umesahau ukubwa wa kiwanjaBei ya nyumba inategemea vitu vikuu vitatu:-
1. Miundombinu eg Barabara,Maji,Umeme,surveyed etc
2.Muonekano/Ubora eg Ya kisasa,Ghorofa,Pagale,iliyopangwa tofali
3.Location eg Dar ,Arusha ,Masaki ,Oysterbay ,Manerumango ,Mpitimbwi etc
Tarime mjiniungesema na maeneo ilipo iyo nyumba au ipo posta karibu na ikulu?
Kwa uchumi huu mil.6 tuu inakutosha ,zaidi ya hapo huuzi.Nahitaji kujua tathmini ya kuuza nyumba hii. Ina vyumba 2 na sebule pamoja na jiko, master bedroom ni self, chini Kuna tiles na juu Kuna gypsum board pia imepigwa rangi za kisasa ndani na nje na dirisha zote ni aluminum.
Msaada tafadhali.
View attachment 1981494
Dona kantriTanzania Nchi Ngumu Sana Hii
HaaDona kantri