kbmk
JF-Expert Member
- Feb 22, 2013
- 776
- 158
Nyumba zetu zimewekwa namba hata zile ambazo mafurko haya fiki, Wamiliki kuulizwa tukupe pesa au tuku jengee nyumba?
Wamiliki wana pigwa picha na kupimiwa viwanja vyao ina semekan mwisho ni mwezi wa 6 wa 2022 kuishi eneo hilo
1. Naji uliza ule mradi wa bonde la mto msimbazi ndio umekuja hadi huku pasipo husika?
2. Mbona nyumba zilizopo ktk bonde hilo au karibu na kabisa bonde hilo hawaja ambiwa hayo?
Tafadhali kama kuna anae fahamu kitu hiki anijuze kwasababu kwa sasa nipo mkoani kikazi huku wananchi wakiwa waoga hata kuwa uliza nyinyi ni kina nani na kwanini tuna hamishwa wana shindwa
Wamiliki wana pigwa picha na kupimiwa viwanja vyao ina semekan mwisho ni mwezi wa 6 wa 2022 kuishi eneo hilo
1. Naji uliza ule mradi wa bonde la mto msimbazi ndio umekuja hadi huku pasipo husika?
2. Mbona nyumba zilizopo ktk bonde hilo au karibu na kabisa bonde hilo hawaja ambiwa hayo?
Tafadhali kama kuna anae fahamu kitu hiki anijuze kwasababu kwa sasa nipo mkoani kikazi huku wananchi wakiwa waoga hata kuwa uliza nyinyi ni kina nani na kwanini tuna hamishwa wana shindwa