Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi kauli mtaziacha lini? Bado hamuamini kwamba bwana amempenda zaidi kuliko nyie mliompenda kwa sababu za matumbo yenu??Wakati wa magufuri walikuwa wapi?
Huyu Fida Hussain ni yule mwenye apartments kibao pale nyuma ya TMJ hospital??Wapo kwenye eneo la mradi na ukizingatia kuwa wana kitega uchumi chenye thamani kubwa na ili uwaondoe inahitajika pesa ndefu sana,hivyo wanahitaji fidia ya ardhi na si ardhi ndogo na ndo maana lazima waingizwe kwenye mpango
But bado jamaa yuko sahihi kwamba fidia lazima ifanywe na serikali..World Bank ni muwezeshaji maana ndo anaetoa huo mkopo kwa serikali,
Exactly [emoji1666][emoji1666]Nakwambia tena World Bank huwa haitoi compensation kwenye miradi yake refer Barabara ya Kimara-Kibaha, na miradi mingine mingi naifahamu ni serikali ndiyo huwa inatoa fidia na ikigoma wao husitisha kutekeleza mradi
Ni kote hadi huku kinondoni Hananasifu. Watu wa world Bank wanafanya mikutano na wenye nyumba wanasema watalipa vizuri tu hadi ya usumbufu.Nyumba zetu zimewekwa namba hata zile ambazo mafurko haya fiki, Wamiliki kuulizwa tukupe pesa au tuku jengee nyumba?
Wamiliki wana pigwa picha na kupimiwa viwanja vyao ina semekan mwisho ni mwezi wa 6 wa 2022 kuishi eneo hilo
1. Naji uliza ule mradi wa bonde la mto msimbazi ndio umekuja hadi huku pasipo husika?
2. Mbona nyumba zilizopo ktk bonde hilo au karibu na kabisa bonde hilo hawaja ambiwa hayo?
Tafadhali kama kuna anae fahamu kitu hiki anijuze kwasababu kwa sasa nipo mkoani kikazi huku wananchi wakiwa waoga hata kuwa uliza nyinyi ni kina nani na kwanini tuna hamishwa wana shindwa
Na hakuna sehemu iliyoandikwa kuwa fidia inalipa world bankBut bado jamaa yuko sahihi kwamba fidia lazima ifanywe na serikali..
Kwa hapo TMJ sifahamu ila miongoni mwa nyumba anazomiliki Fida ni zile pale nyuma ya Tanesco MikocheniHuyu Fida Hussain ni yule mwenye apartments kibao pale nyuma ya TMJ hospital??
Nasikia pote ulipopita mto msimbazi wakazi wao wanaondolewaHata nyumba za Magomeni Mapipa wanataka wabomoe
Atakuwa amechanganya ila ndio izoizi upande wa pili baada ya TmjKwa hapo TMJ sifahamu ila miongoni mwa nyumba anazomiliki Fida ni zile pale nyuma ya Tanesco Mikocheni
Ok ndio maana huku bonde la msimbazi upande wa mchikichini baadhi ya nyumba zimeandikwa kwa namba rangi kijani ndio wanaanzia wao kufanyiwa tathimni,na wale walioandikiwa na namba kwa rangi nyekundu wameambiwa wasubiri,sasa hapo inamaana hawa waliandikiwa rangi nyekundu kunauwezekano wa wao kubaki maeneo hayo sioKwa maelezo ya mshauri wa mradi NORPLAN ni kuwa baada ya vikao na ushauri wa mipango miji imeamuliwa wachukue mpaka maeneo ya juu ya bonde ili wanaposawazisha waweze pata uwiiano mzuri kuanzia Msimbazi mpaka juu
Waliokaribu na bonde hawajaambiwa kwasababu wapo tofauti na eneo hili la juu au tuseme kuwa hayawahusu
Mwenyekiti wa Serikali za mtaa na wajumbe wake wanasemaje? Hao lazima wawe na majibu sahihiNyumba zetu zimewekwa namba hata zile ambazo mafurko haya fiki, Wamiliki kuulizwa tukupe pesa au tuku jengee nyumba?
Wamiliki wana pigwa picha na kupimiwa viwanja vyao ina semekan mwisho ni mwezi wa 6 wa 2022 kuishi eneo hilo
1. Naji uliza ule mradi wa bonde la mto msimbazi ndio umekuja hadi huku pasipo husika?
2. Mbona nyumba zilizopo ktk bonde hilo au karibu na kabisa bonde hilo hawaja ambiwa hayo?
Tafadhali kama kuna anae fahamu kitu hiki anijuze kwasababu kwa sasa nipo mkoani kikazi huku wananchi wakiwa waoga hata kuwa uliza nyinyi ni kina nani na kwanini tuna hamishwa wana shindwa
JFs ina taarifa nyingi aiseeKwa maelezo ya watu wa TAMISEMI na watu wa NORPLAN mradi unafadhiliwa na world Bank na mahsusi kwa maendeleo ya bonde la mto Msimbazi kuanzia Kisarawe mpaka Salender
Kutakuwa na fidia pmj na malipo mengine mengi tuu japo bado yapo mdomoni na si kwenye maandishi
Na mradi huu unakwenda kuzima mipango aliyokuwa nayo Fidahussein bwana Mushi nafamilia ya marehemu Mengi,ambayo watu wa mabondeni waliona ndo mkombozi kwao na usingekuwa na longolongo kama ambavyo wanalotegemea kutoka kwenye mradi huu wa serikali unafadhiliwa na benki ya dunia
Tusubiri tuone itakavyokuwa japo ni mkombozi,tegemeo,tumaini na kimbilio la wengi wanaoishi mabondeni
Wanajengewa apartment wakae pamoja waache kusambaaaa bonde zima. Eneo kinalobaki wanachukua MabwanyenyeMama yangu bint Musa anakibanda pale kigogo Ruhanga kwa bint Kaenga aliwahi nihadithia hii stori miaka miingi nyuma nadhani ndo linatimia.
Alisema nyumba zitavunjwa na kujengwa ghorofa na mwenye kiwanja ataishi umo umo.
Wakati ananiadithia sikulichukulia kwa uzito
Hao majibu yao ni mafupi tu "walikuja watu kutoka mkoani pamoja na wafadhiri hivyo tuvute subiri huenda kuna jambo jema"mwishoMwenyekiti wa Serikali za mtaa na wajumbe wake wanasemaje? Hao lazima wawe na majibu sahihi
Alafu nyingi ni very productive japokuwa majina yetu tunajua wenyewe tulipoyatoaJFs ina taarifa nyingi aisee
Ni taarifa muhimu sana. Humu nilipata Engineer aliyenijengea nyumba yangu safi sanaAlafu nyingi ni very productive japokuwa majina yetu tunajua wenyewe tulipoyatoa
🤣🤣🤣Hao majibu yao ni mafupi tu "walikuja watu kutoka mkoani pamoja na wafadhiri hivyo tuvute subiri huenda kuna jambo jema"mwisho